Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,971
napenda sana style ya nywele ya kiduku![]()
![]()
Ni tozi mkubwa wa mitindo ya nywele
.....
napenda sana style ya nywele ya kiduku![]()
![]()
Ni tozi mkubwa wa mitindo ya nywele
.....
Yupo humu ndani, huwa hatoki humu.



huwa hatoki humu kwahiyo analala humu
R.i.p Rashid
Wakati wa fainali hizo alifunga nao na kushangilia kwa hisia kali ya kuingia golini na kushika wavu na kuutikisa![]()
Tukio hilo lilimpa umaarufu mkubwa duniani na staili hiyo ikaigwa
Lakini Mwisho alikufa kimaskini huko nyumbani kwao
.
Shukrani kamanda kwa historia
Tukutane jioni kwenye 10 kubwa
......
......
anamwitaga hivyo mara kwa maraNyagei utamuweza, kumbuka jana ilikuwa birthday ya Chaplin
poa shem wange za wwNiaje shemela
Mhhhhhhmhhhhheti ni kweli mama mchuchu mnakulaga mbwa![]()
Nzuri kabisapoa shem wange za ww
shemela umeanza nataka kujua kama ni kweli au ww hutaki kujuaMhhhhhhmhhhhh
ata mm naonaNzuri kabisa
DuhYupo humu ndani, huwa hatoki humu.
Nipo njiani nakujaFull nyagei leo.
Sijui hata yuko wapi now![]()
Okay, hili ni gazeti la wapi? Au Taifa Star wamejipanua kazi yao ya soka hadi gazeti?Just good purpose ya kujuzana yanayojiri magazetini E.A and around the globe, hapa nakuekea The Star https://goo.gl/photos/ALQgUvzQsweztpWU7
Nipo njiani nakuja
Humu ni nyumbani, nina chumba changu humu...eti ni kweli una kitanda humu? Kukanusha tu haitoshi, thibitisha
Usikimbie tuLeo kuna big match moja tu huko ulaya
UEFA EUROPA LEAGUE
![]()
VIVA VIVA MANCHESTER UNITED
hivi binamu hiyo avatar unaendana nayo eenh kitu cha weed kinapanda
Mama mchungaji hali mbwashemela umeanza nataka kujua kama ni kweli au ww hutaki kujua