Makapuku Forum

Makapuku Forum

[emoji524] ZABURI 68

19 Na ahimidiwe BWANA ,siku kwa siku hutuchukulia mzigo wetu;MUNGU ndiye wokovu wetu.

[emoji324] MUNGU ndiye kila kitu,ukitambua hili utatenda mema.

[emoji324] MUNGU wetu anatupenda,ni WOKOVU wetu,ni MWANGA wa maisha yetu
[emoji324]Tumtumikie,Tumfuate,Tumuombe,Tumshukuru yeye siku zote.

TUOMBE:

Mtakatifu,Mtakatifu,Mtakatifu BWANA MUNGU mwenye enzi,asante kwa kutufikisha siku ya alhamisi ya leo,wapo wengi waliotamani kuiona siku ya leo hawajaweza.

Tunajitakasa mbele yako Mungu wetu tukiomba usikumbuke uovu wetu wote,tusamehe Baba makosa yetu yote.

Asubuhi ya leo pamoja na nia zetu mbalimbali tunaombea

[emoji736] Mipango yetu yote.

[emoji736] Wagonjwa,wasafiri,wanafunzi wote hasa kidato cha sita waongoze katika mitihani yao.

[emoji736] Vijana wote walinde katika maisha ya ujanani ,wapate Elimu sahihi,kazi,mitaji,malezi,wake/waume,ushauri,Amani

[emoji736] Kusudi la maisha yetu.

[emoji736] Wafiwa wote wafariji.

[emoji736] Marehemu wote Raha ya milele uwape Ee BWANA,Mwanga wa milele uwaangazie ,wapumzike kwa Amani,Amen


Tunaomba haya yote katika jina la Yesu Kristo Amina.

MUWE NA SIKU NJEMA,MBARIKIWE[emoji7] [emoji7]
Nawe pia mtumishi
 
NUKUU YA LEO

Movies are a fad. Audiences really want to see live actors on a stage.

Sinema ni mtindo, Watazamaji wanataka kuwaona wahusika moja kwa moja kwenye jukwaani.

Haya maneno yalipatwa kusemwa na mchekeshaji na mcheza filamu wa kiingereza Charles Spencer Chaplin maarufu kama Charlie Chaplin. Charlie alizaliwa 16 April 1889 katika viunga vya walworth kusini kwa jiji la london.

Charlie alizaliwa katika familia maskini na waliishi katika maeneo duni, wazazi wake walikuwa wote ni waburudishaji kwenye kumbi za miziki, baadaye wazazi waliachana na hapo ndio ikawa chachu ya charlie kuanza kuigiza kwenye majukwaa ya watoto akiwa na umri wa miaka 5 tuu.

Baadaye mama yake alifariki na ikabidi charlie akaishi marekani na kuanza kutengeneza filamu silent filming. alitengeneza kazi nyingi na kufungua kampuni yake binafsi, wakati huo alishakuwa star wa dunia tayari.

Charlie aliwahiwa kufukuzwa marekani baada ya uchunguzi wa FBI kugundua alioa wanawake wadogo sana na mtazamo wake wakupenda siasa za kikomunisti. Baada ya hapo Charlie aliienda kuishi Switzerland hadi mauti yalipomfika kwa ugonjwa wa kupooza.

Charlie aliacha watoto 11 aliozaa na wanawake 4, Bado hadi leo filamu zake zinauza na amebaki kuwa mchekeshaji mkubwa ambae alikuwa haongei. kwanza yeye mwenyewe ukimuona tayari unacheka tuu.

Nukuu ya leo, jamaa alitaka watu wapige live, leo hii ndio tunaita stand up comedy ya kina Mc pilipili, annie kaasiime na eric omondi.
Shukrani sana kwa nukuu ya siku mkuu,naona umetuliletea Nyagei leo
 
[emoji524] ZABURI 68

19 Na ahimidiwe BWANA ,siku kwa siku hutuchukulia mzigo wetu;MUNGU ndiye wokovu wetu.

[emoji324] MUNGU ndiye kila kitu,ukitambua hili utatenda mema.

[emoji324] MUNGU wetu anatupenda,ni WOKOVU wetu,ni MWANGA wa maisha yetu
[emoji324]Tumtumikie,Tumfuate,Tumuombe,Tumshukuru yeye siku zote.

TUOMBE:

Mtakatifu,Mtakatifu,Mtakatifu BWANA MUNGU mwenye enzi,asante kwa kutufikisha siku ya alhamisi ya leo,wapo wengi waliotamani kuiona siku ya leo hawajaweza.

Tunajitakasa mbele yako Mungu wetu tukiomba usikumbuke uovu wetu wote,tusamehe Baba makosa yetu yote.

Asubuhi ya leo pamoja na nia zetu mbalimbali tunaombea

[emoji736] Mipango yetu yote.

[emoji736] Wagonjwa,wasafiri,wanafunzi wote hasa kidato cha sita waongoze katika mitihani yao.

[emoji736] Vijana wote walinde katika maisha ya ujanani ,wapate Elimu sahihi,kazi,mitaji,malezi,wake/waume,ushauri,Amani

[emoji736] Kusudi la maisha yetu.

[emoji736] Wafiwa wote wafariji.

[emoji736] Marehemu wote Raha ya milele uwape Ee BWANA,Mwanga wa milele uwaangazie ,wapumzike kwa Amani,Amen


Tunaomba haya yote katika jina la Yesu Kristo Amina.

MUWE NA SIKU NJEMA,MBARIKIWE[emoji7] [emoji7]
Amen
 
[emoji524] ZABURI 68

19 Na ahimidiwe BWANA ,siku kwa siku hutuchukulia mzigo wetu;MUNGU ndiye wokovu wetu.

[emoji324] MUNGU ndiye kila kitu,ukitambua hili utatenda mema.

[emoji324] MUNGU wetu anatupenda,ni WOKOVU wetu,ni MWANGA wa maisha yetu
[emoji324]Tumtumikie,Tumfuate,Tumuombe,Tumshukuru yeye siku zote.

TUOMBE:

Mtakatifu,Mtakatifu,Mtakatifu BWANA MUNGU mwenye enzi,asante kwa kutufikisha siku ya alhamisi ya leo,wapo wengi waliotamani kuiona siku ya leo hawajaweza.

Tunajitakasa mbele yako Mungu wetu tukiomba usikumbuke uovu wetu wote,tusamehe Baba makosa yetu yote.

Asubuhi ya leo pamoja na nia zetu mbalimbali tunaombea

[emoji736] Mipango yetu yote.

[emoji736] Wagonjwa,wasafiri,wanafunzi wote hasa kidato cha sita waongoze katika mitihani yao.

[emoji736] Vijana wote walinde katika maisha ya ujanani ,wapate Elimu sahihi,kazi,mitaji,malezi,wake/waume,ushauri,Amani

[emoji736] Kusudi la maisha yetu.

[emoji736] Wafiwa wote wafariji.

[emoji736] Marehemu wote Raha ya milele uwape Ee BWANA,Mwanga wa milele uwaangazie ,wapumzike kwa Amani,Amen


Tunaomba haya yote katika jina la Yesu Kristo Amina.

MUWE NA SIKU NJEMA,MBARIKIWE[emoji7] [emoji7]
Asante kwa neno mama mtumishi
 
Yaani juu pameandilwa ajira mpya
Chini benki 3 hatarini kufungwa
Ndo yaleyale niliyosema watu wanaoondoka kwenye ajira sekta binafsi na serikalini kutokana na kuyumba kwa uchumi na zinema ya vyeti feki ni wengi kuliko ajira mpya
Km ni ukuaji wa uchumi basi tupo -be yaani mstari wa graph unaenda chini

.
Shukrani kwa magazeti
.........
Hatari sana, nmb peke yao baada ya kutumbuliwa wa vyeti feki wanakadiliwa kupata hasara ya 48b

Pamoja sana bitoz
 
Tongotongo la Asubuhi
6020ad62cfb9c43fa61357978fec6d5b.jpg

Simba mpanda miti
Sina hii ya Simba wanapatikana Tanzania pekee
Sasa mtu unaenda mbugani ukijua simba ujifovha tu kwenye nyasi hivyo kutembea kwa mavhale kumbe mnyama yupo juu ya mti anakuchora tu
Asubuhi njema
.......
Asante kwa tongo tongo la asubuhi
 
Back
Top Bottom