shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Morning mama mchungaji, Asante nawe pia Mungu akubarikiMorning Shululu za uzima ubarikiwe
Morning mama mchungaji, Asante nawe pia Mungu akubarikiMorning Shululu za uzima ubarikiwe
Morning mama mchungaji, Asante nawe pia Mungu akubarikiMorning Shululu za uzima ubarikiwe
Ubarikiwe mkuu Shululu uwe na siku njema asante sana
Ubarikiwe sanaSina la ziada kwa udhamini mnono wa wa shimba ya buyenze tukutane kesho tena kwenye magazeti hapa hapa makapuku
JidanganyeUhakiki wa vyeti feki swala la rufaa ni la heri
Hilo ni changa la machoHawa wenye tuhuma za vyeti feki ni namna gani wanakata rufaa??
HahahaahhNimetumwa na .wakyembe kuangalia wanaopost magazeti humu, haya wewe uliyepost nikukute central

Nawe pia mtumishiZABURI 68
19 Na ahimidiwe BWANA ,siku kwa siku hutuchukulia mzigo wetu;MUNGU ndiye wokovu wetu.
MUNGU ndiye kila kitu,ukitambua hili utatenda mema.
MUNGU wetu anatupenda,ni WOKOVU wetu,ni MWANGA wa maisha yetu
Tumtumikie,Tumfuate,Tumuombe,Tumshukuru yeye siku zote.
TUOMBE:
Mtakatifu,Mtakatifu,Mtakatifu BWANA MUNGU mwenye enzi,asante kwa kutufikisha siku ya alhamisi ya leo,wapo wengi waliotamani kuiona siku ya leo hawajaweza.
Tunajitakasa mbele yako Mungu wetu tukiomba usikumbuke uovu wetu wote,tusamehe Baba makosa yetu yote.
Asubuhi ya leo pamoja na nia zetu mbalimbali tunaombea
Mipango yetu yote.
Wagonjwa,wasafiri,wanafunzi wote hasa kidato cha sita waongoze katika mitihani yao.
Vijana wote walinde katika maisha ya ujanani ,wapate Elimu sahihi,kazi,mitaji,malezi,wake/waume,ushauri,Amani
Kusudi la maisha yetu.
Wafiwa wote wafariji.
Marehemu wote Raha ya milele uwape Ee BWANA,Mwanga wa milele uwaangazie ,wapumzike kwa Amani,Amen
Tunaomba haya yote katika jina la Yesu Kristo Amina.
MUWE NA SIKU NJEMA,MBARIKIWE![]()
![]()
Nahisi kipindi hicho FBI ilikuwa chini ya lile babu Edger Hoover aloyejimilikisha genge la FBIJamaa alikuwa anasapoti wamomunisti miaka ya 1940's wakati USA anapigana kuwapiga USSR na mataifa mwengine ya staili hiyo..
Ogopa hadi FBI waliitwa kufanya investigations..
Shukrani sana kwa nukuu ya siku mkuu,naona umetuliletea Nyagei leoNUKUU YA LEO
Movies are a fad. Audiences really want to see live actors on a stage.
Sinema ni mtindo, Watazamaji wanataka kuwaona wahusika moja kwa moja kwenye jukwaani.
Haya maneno yalipatwa kusemwa na mchekeshaji na mcheza filamu wa kiingereza Charles Spencer Chaplin maarufu kama Charlie Chaplin. Charlie alizaliwa 16 April 1889 katika viunga vya walworth kusini kwa jiji la london.
Charlie alizaliwa katika familia maskini na waliishi katika maeneo duni, wazazi wake walikuwa wote ni waburudishaji kwenye kumbi za miziki, baadaye wazazi waliachana na hapo ndio ikawa chachu ya charlie kuanza kuigiza kwenye majukwaa ya watoto akiwa na umri wa miaka 5 tuu.
Baadaye mama yake alifariki na ikabidi charlie akaishi marekani na kuanza kutengeneza filamu silent filming. alitengeneza kazi nyingi na kufungua kampuni yake binafsi, wakati huo alishakuwa star wa dunia tayari.
Charlie aliwahiwa kufukuzwa marekani baada ya uchunguzi wa FBI kugundua alioa wanawake wadogo sana na mtazamo wake wakupenda siasa za kikomunisti. Baada ya hapo Charlie aliienda kuishi Switzerland hadi mauti yalipomfika kwa ugonjwa wa kupooza.
Charlie aliacha watoto 11 aliozaa na wanawake 4, Bado hadi leo filamu zake zinauza na amebaki kuwa mchekeshaji mkubwa ambae alikuwa haongei. kwanza yeye mwenyewe ukimuona tayari unacheka tuu.
Nukuu ya leo, jamaa alitaka watu wapige live, leo hii ndio tunaita stand up comedy ya kina Mc pilipili, annie kaasiime na eric omondi.
Morning kijanaMorning kapuku
Yaani kwa kifupi kipindi marekani ilikuwa chini ya wahuni watupu...Nahisi kipindi hicho FBI ilikuwa chini ya lile babu Edger Hoover aloyejimilikisha genge la FBI
Ni hatari
.....
Full nyagei leo.Shukrani sana kwa nukuu ya siku mkuu,naona umetuliletea Nyagei leo


AmenZABURI 68
19 Na ahimidiwe BWANA ,siku kwa siku hutuchukulia mzigo wetu;MUNGU ndiye wokovu wetu.
MUNGU ndiye kila kitu,ukitambua hili utatenda mema.
MUNGU wetu anatupenda,ni WOKOVU wetu,ni MWANGA wa maisha yetu
Tumtumikie,Tumfuate,Tumuombe,Tumshukuru yeye siku zote.
TUOMBE:
Mtakatifu,Mtakatifu,Mtakatifu BWANA MUNGU mwenye enzi,asante kwa kutufikisha siku ya alhamisi ya leo,wapo wengi waliotamani kuiona siku ya leo hawajaweza.
Tunajitakasa mbele yako Mungu wetu tukiomba usikumbuke uovu wetu wote,tusamehe Baba makosa yetu yote.
Asubuhi ya leo pamoja na nia zetu mbalimbali tunaombea
Mipango yetu yote.
Wagonjwa,wasafiri,wanafunzi wote hasa kidato cha sita waongoze katika mitihani yao.
Vijana wote walinde katika maisha ya ujanani ,wapate Elimu sahihi,kazi,mitaji,malezi,wake/waume,ushauri,Amani
Kusudi la maisha yetu.
Wafiwa wote wafariji.
Marehemu wote Raha ya milele uwape Ee BWANA,Mwanga wa milele uwaangazie ,wapumzike kwa Amani,Amen
Tunaomba haya yote katika jina la Yesu Kristo Amina.
MUWE NA SIKU NJEMA,MBARIKIWE![]()
![]()
Nimetumwa na .wakyembe kuangalia wanaopost magazeti humu, haya wewe uliyepost nikukute central

Asante kwa neno mama mtumishiZABURI 68
19 Na ahimidiwe BWANA ,siku kwa siku hutuchukulia mzigo wetu;MUNGU ndiye wokovu wetu.
MUNGU ndiye kila kitu,ukitambua hili utatenda mema.
MUNGU wetu anatupenda,ni WOKOVU wetu,ni MWANGA wa maisha yetu
Tumtumikie,Tumfuate,Tumuombe,Tumshukuru yeye siku zote.
TUOMBE:
Mtakatifu,Mtakatifu,Mtakatifu BWANA MUNGU mwenye enzi,asante kwa kutufikisha siku ya alhamisi ya leo,wapo wengi waliotamani kuiona siku ya leo hawajaweza.
Tunajitakasa mbele yako Mungu wetu tukiomba usikumbuke uovu wetu wote,tusamehe Baba makosa yetu yote.
Asubuhi ya leo pamoja na nia zetu mbalimbali tunaombea
Mipango yetu yote.
Wagonjwa,wasafiri,wanafunzi wote hasa kidato cha sita waongoze katika mitihani yao.
Vijana wote walinde katika maisha ya ujanani ,wapate Elimu sahihi,kazi,mitaji,malezi,wake/waume,ushauri,Amani
Kusudi la maisha yetu.
Wafiwa wote wafariji.
Marehemu wote Raha ya milele uwape Ee BWANA,Mwanga wa milele uwaangazie ,wapumzike kwa Amani,Amen
Tunaomba haya yote katika jina la Yesu Kristo Amina.
MUWE NA SIKU NJEMA,MBARIKIWE![]()
![]()
Naona umekuja kutambulisha blog yako
Pamoja Obe
Hatari sana, nmb peke yao baada ya kutumbuliwa wa vyeti feki wanakadiliwa kupata hasara ya 48bYaani juu pameandilwa ajira mpya
Chini benki 3 hatarini kufungwa
Ndo yaleyale niliyosema watu wanaoondoka kwenye ajira sekta binafsi na serikalini kutokana na kuyumba kwa uchumi na zinema ya vyeti feki ni wengi kuliko ajira mpya
Km ni ukuaji wa uchumi basi tupo -be yaani mstari wa graph unaenda chini
.
Shukrani kwa magazeti
.........
Asante kwa tongo tongo la asubuhiTongotongo la Asubuhi![]()
Simba mpanda miti
Sina hii ya Simba wanapatikana Tanzania pekee
Sasa mtu unaenda mbugani ukijua simba ujifovha tu kwenye nyasi hivyo kutembea kwa mavhale kumbe mnyama yupo juu ya mti anakuchora tu
Asubuhi njema
.......