BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
HBD Cesc Fabregas1987 - Cesc Fabregas anazaliwa.
Kiungo wa zamani wa Arsenal, Barca na sasa Chelsea.
Ameshinda taji la kombe la dunia akiwa na Hispania.
HBD Cesc Fabregas1987 - Cesc Fabregas anazaliwa.
Kiungo wa zamani wa Arsenal, Barca na sasa Chelsea.
Ameshinda taji la kombe la dunia akiwa na Hispania.
LEO KATIKA HISTORIA:
1910 - JESHI la Wanamaji la Canada laanzishwa.
RIP Rashid Yekini2012 - Rashid Yekini anafariki dunia.
Staa wa zamani wa Timu ya Taifa ya Nigeria katika World cup ya 1994.
1959 - Tuzo za kwanza za Grammy zaanza kutolewa.
Sijui kama maji yamejaa magari maana kila siku magari yakifika kuzima moto hakuna maji tuwaombee sana watu hawa- Leo ni siku ya Wazima moto duniani.

Asante mkuu Mussolin5 kwa historia ubarikiwe kazi yako ni njemaLeo katika Historia:
Niwatakie siku njema.

1949 - Timu ya Torino yapata ajali ya ndege ambapo wachezaji na makocha wapoteza maisha.
1978 - Ndege za Kivita za Afrika Kusini chini ya utawala wa Makaburu zashambulia ngome ya chama cha SWAPO huko Angola.
Tupo mnyalukolokumbe tupo wote
RIP Torino team1949 - Timu ya Torino yapata ajali ya ndege ambapo wachezaji na makocha wapoteza maisha.
HBD Jeshi la wanamaji CanadaLEO KATIKA HISTORIA:
1910 - JESHI la Wanamaji la Canada laanzishwa.
HatariAsante kwa tongo tongo la asubuhi
1979 - Margareth Thatcher anachaguliwa kuwa Waziri Mkuu wa kwanza Mwanamke.
Hatujambo ubarikiweHamjambooni wadau wangu wa nguvu?
KaribuAsante kwa neno mama mtumishi
Ww ndo hujaelewahawa waandishi wa hizi habar wameongwa na makonda waandike taarifa zake mbona walikaa wakajadili kwamba hawata andika habar kuhusu bashite "kweli nchi imeingia matope in chibu voice"
KaribuAmen
1988 - Radja Nainggolan anazaliwa.
Kiungo wa kati wa As Roma na timu ya taifa ya Ubelgiji.
Asubuhi njema nawe pia ubarikiwe BitozTongotongo la Asubuhi![]()
Simba mpanda miti
Sina hii ya Simba wanapatikana Tanzania pekee
Sasa mtu unaenda mbugani ukijua simba ujifovha tu kwenye nyasi hivyo kutembea kwa mavhale kumbe mnyama yupo juu ya mti anakuchora tu
Asubuhi njema
.......