Namuhi
JF-Expert Member
- May 28, 2016
- 1,068
- 1,103
Sasa hawa bongo muvi wapo kategori ipiNi wachache watakaoweza maana kuna waigizaji na wasanii.
Sasa hawa bongo muvi wapo kategori ipiNi wachache watakaoweza maana kuna waigizaji na wasanii.
Afadhali pengine ataweza kuifufua Bongo movie yetu. Mdororo wake kwa kweli unasikitisha na kazi nyingi ni za kiwango cha chini mno. Halafu subiri sasa wakiweka subtitles za Kiingereza. Utacheka mpaka uvunjike mbavu!JOHN RIBER
Nimepenyezewa taarifa kwamba kuna mpishi mpya wa movies toka Africa kusini aitwaye John Riber.
![]()
Habari nilizonazo ni kwamba kwa sasa yupo Morogoro wamepiga kambi wakipika movie mpya itakayohusu maisha ya wakulima na walanguzi wa mazao mhusika mkuu akiwa ni JB.
John Riber ni raia wa Afrika kusini ila yupo hapa nchini kwa miaka 12 sasa.
![]()
Ni muongozaji wa filamu pia ni mwandishi
Hapa na Gopal wakati wakichukua vipande kwenye filamu iitwayo Yellow card.![]()
Kazi zake nyingine hizo![]()
Tukae mkao wa kupokea kazi toka kwa gwiji John Riber.
Nyota wa Yellow card akiwa na tuzo![]()
![]()
Wapo kategori ya sanaa ya uigizajiSasa hawa bongo muvi wapo kategori ipi
Atafanikiwa sanaAfadhali pengine ataweza kuifufua Bongo movie yetu.
Mama Mchungaji jamani leo yuko wapi? Sijasikia sala ya kulala...
Goodnight wapendwa. Tusemezane kesho tukijaliwa. Shedede nakutakia "ulinzi" mwema wa Shunie. Blessings!
Anafanya kazi kimataifa hivyo ni ngumu kulipua lipua kaziAfadhali pengine ataweza kuifufua Bongo movie yetu. Mdororo wake kwa kweli unasikitisha na kazi nyingi ni za kiwango cha chini mno. Halafu subiri sasa wakiweka subtitles za Kiingereza. Utacheka mpaka uvunjike mbavu!
MITHALI 3

Njema mkuuHabarini Makapuku
Mungu awatunze,tuzidi kuuona utukufu wake...Mungu ni muweza wa yoteNdo walivyozaliwa hivyo wanajisikia kawaida tu ni tofauti na kuzaliwa mzima halafu baadaye upate ulemavu
Wakiwa wadogo walitaka kifanyiwa operesheni kuwatenganisha ikadhindika maana wanachangia kiungo vingi
Mmoja akiumwa tu Malaria basihuumwa wote Hivyo hata kufa wanaweza kupishana dk 2 tu
........

Hawa watoto aisee yaani, Mungu ni Mungu tu,
Mmoja akifa tu mwingine hawezi kuishi
ZABURI 118

Jamani ila mahousegirl kwakweli wanafanya kazi,tukubali tukatae,Mungu atadhihirisha..kwamba kapendelewa siamini...naona president kaona mchango mkubwa maana sidhani kama first lady anafanya kazi yoyote,hawa mahousegirl tuwachukulie kwa upendoMkistaajabu ya NkurunzIza mtayaona ya Sizonje
.....

Mungu awatangulie katika mitihani yao na maisha yaoMaria na Consolata![]()
Wanapiga pepa la Form
Hivyo Sept ni mwendo wa University
.......
NJOMBE,ME MBENAjamani ni otenge maana yake ni habar yako![]()
![]()
mama mchungaji mekupenda bure hiv we asili yako wapi
Hongera dada kazi yako njema,wengi huwa hawathamini kazi hii ,lakini ndio watu wanaosima mia mambo mengi katika familia na kuwafanya maboss watulie makazini BIG UP PRESIDENT

Hukukosea kabisa.Shededeeeeeee mimi nilimmiss banah nikamfuata huko mnapaita PM eh yap nikamuuliza sakayo kulikoniiiii!!!!!!! Hatukuoniiiii,Je nimefanya kosa mzee mwenzangu hahahhahaha shilawaduuu
jamani hii issue iko vip uzi wa makapuku now days kuna viewers takriban mil.2 ukienda play store utaona pale kwenye dowloads utakuta kuna downloads 500k

Nipo hapa mkuu,ubarikiwe,sijakuona siku mbili,Damu ya Yesu ikufunike usiku mwemaMama Mchungaji jamani leo yuko wapi? Sijasikia sala ya kulala...
Goodnight wapendwa. Tusemezane kesho tukijaliwa. Shedede nakutakia "ulinzi" mwema wa Shunie. Blessings!

Kweli aiseeNi wachache watakaoweza maana kuna waigizaji na wasanii.