Obe
Platinum Member
- Dec 31, 2007
- 10,277
- 35,630
Humu ni nyumbani, nina chumba changu humu
Vyumba vyetu vinapakana basi
Humu ni nyumbani, nina chumba changu humu
Ila ngoja aje akuthibitishie mwenyeweshemela umeanza nataka kujua kama ni kweli au ww hutaki kujua
Niaje tetramelyz
Niaje tetramelyz
Vyumba vyetu vinapakana basi
Nina amani sana leoHapana, weed ni haramu kwa serikali na vyombo vyake. Lakini ni tiba ya jino, sikio, 'asazi', kiungulia, pumu.
Kifupi hii avatar yangu siendani nayo, mimi sfugi rasta.
kama inakukera itabidi nibadili, si unaona BlessedHope kabadili🙂
Nitakimbiaje wakati nitaleta matokeoUsikimbie tu
Azam wanaonyesha channel ipi nyageiLeo kuna big match moja tu huko ulaya
UEFA EUROPA LEAGUE
![]()
VIVA VIVA MANCHESTER UNITED
Sijambo binamu yangu unaendeleajeMarahaba auntie, hujambo wewe?
Yeye sio mtu wa Iringa au China...umejuaje?
hahaha binamu hainikeri tumekuzoea na hiyo kumbe weed ni dawa nilikua sijuiHapana, weed ni haramu kwa serikali na vyombo vyake. Lakini ni tiba ya jino, sikio, 'asazi', kiungulia, pumu.
Kifupi hii avatar yangu siendani nayo, mimi sfugi rasta.
kama inakukera itabidi nibadili, si unaona BlessedHope kabadili🙂
Umemjibia ata kama yy hali anisemee kwa niaba ya wanyalukoloMama mchungaji hali mbwa
Poa tetra za wwMambo vp kf
akikujibu binamu niite...umejuaje?
una amani ya nini shem wangeNina amani sana leo
Praise the Lord Jorowe!
Kwa Leo sijajua nitafuatilia kisha nitakupa mrejeshoAzam wanaonyesha channel ipi nyagei
hatujambo za kupoteaWakuu na wasalimia , natumai mko Salama na mnaendelea na shughuli za kila siku za kuwapatia mkate.... Mungu awabaliki wetu!!