shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Shemela unaangalia mpiramsukuma jaman hayo tutaongea lee akirudi yataisha tu
Shemela unaangalia mpiramsukuma jaman hayo tutaongea lee akirudi yataisha tu
hahahahaha.....mkuu hujaacha kunifatilia kabisaHuyu si katimuliwa kazi kwa kutaka kutafuna "mali" ya bosi. Karudishwa kazini? Kama Karudishwa basi ni wazi mlindwa kadata. Lee kazi anayo kudadadeki !!!

shemela nipo kitandani nina hamu yanitokee kama ya jana azam sports watuwekee marudioShemela unaangalia mpira
Puliiiiiiiiizzzzzzhapna mkuu mimi ni mlinzi muadilifu sana makapuku wote wananijuwa



Umerudishwa kazini lini? Ufukuzwe kazi na bosi halafu bosi aondoke tu ndo urudishwe kazini na Mrs tena kazi yenyewe ni kumlinda huyo Mrs. Na unategemea watu wazima na akili zetu eti tukae kimya tu bila kuwa na kwesheni maka kichwani?hahahahaha.....mkuu hujaacha kunifatilia kabisa![]()
![]()
![]()
![]()
Haaaaahaaaahahahahaha.....mkuu hujaacha kunifatilia kabisa![]()
![]()
![]()
![]()
Pole shemela, ila azam hawaoneshi UCLshemela nipo kitandani nina hamu yanitokee kama ya jana azam sports watuwekee marudio
Aisee! Kama ni mimi nakutoa mkuku na Shedede wako. Siwezi kumfukuza mlinzi halafu bila kunijulisha unamrudisha kinyemela. Na mlinzi mwenyewe anakulinda wewe. Haiwezekani!msukuma jaman hayo tutaongea lee akirudi yataisha tu
Kuna channel inaitwa WBS hiyo inaonyesha live UCLPole shemela, ila azam hawaoneshi UCL
Chaplin niajeHabarini Makapuku
Shwari tu kamandaChaplin niaje
Sikutaka nifikirie kitu ila sina budi kuwaza sanaAisee! Kama ni mimi nakutoa mkuku na Shedede wako. Siwezi kumfukuza mlinzi halafu bila kunijulisha unamrudisha kinyemela. Na mlinzi mwenyewe anakulinda wewe. Haiwezekani!
hahahh nimekuja shemela habari za saa nazipenda sana natamani atuwekee picha sema ndio hivyo binamu hana simu ya tachi
Huwa nakutafakari kimyaaa,naomba Mungu anisaidie nikuelewe![]()
Inapatikana king'amuzi ganiKuna channel inaitwa WBS hiyo inaonyesha live UCL
Aisee, kazi kwao sasa wasaniiJOHN RIBER
Nimepenyezewa taarifa kwamba kuna mpishi mpya wa movies toka Africa kusini aitwaye John Riber.
![]()
Habari nilizonazo ni kwamba kwa sasa yupo Morogoro wamepiga kambi wakipika movie mpya itakayohusu maisha ya wakulima na walanguzi wa mazao mhusika mkuu akiwa ni JB.
John Riber ni raia wa Afrika kusini ila yupo hapa nchini kwa miaka 12 sasa.
![]()
Ni muongozaji wa filamu pia ni mwandishi
Hapa na Gopal wakati wakichukua vipande kwenye filamu iitwayo Yellow card.![]()
Kazi zake nyingine hizo![]()
Tukae mkao wa kupokea kazi toka kwa gwiji John Riber.
Nyota wa Yellow card akiwa na tuzo![]()
![]()
AzamInapatikana king'amuzi gani
Ni wachache watakaoweza maana kuna waigizaji na wasanii.Aisee, kazi kwao sasa wasanii