Makapuku Forum

Makapuku Forum

Duma
8d447b0ad350c314773cf0a880099022.jpg

Ndio mnyama wa ardhini mwenye kasi zaidi duniani anapatikani barani Afrika
Tufanye utalii wa ndani tukajionee kwa macho

Ahsanteni kwa kuwa pamoja nani
Mwisho
.............
 
TUCHUKULIANE

WAGALATIA 6

1 Ndugu zangu mtu akighafilika katika kosa lolote ,ninyi mlio wa Roho mrejezeni upya mtu kama huyo kwa roho ya upole ,ukijiangalia nafsi yako usije ukajaribiwa wewe mwenyewe

2 Mchukuliane mizigo na kuitimiza hivyo sheria ya Kristo

3 Maana mtu akijiona kuwa ni kitu ,naye si kitu ,ajidanganya nafsi yake

4 Lakini kila mtu na aipime kazi yake mwenyewe ,ndipo atakapokuwa na sababu ya kujisifu ndani ya nafsi yake tu,wala si kwa wenzake

5 Maana kila mtu atalichukua furushi lake mwenyewe

WAPENDWA

Tupendane
Tuonyane
Tatizo la mwenzetu liwe letu siku zote
Tupige magoti tuombe kwa ajili ya wengine
Tuufurahie uumbaji na vyote vilivyomo

HUO NDIO UPENDO WA KWELI

MUNGU ATUSAIDIE KUCHUKULIANA MIZIGO KWA UPENDO

Asante Baba kwa kutuamsha sala ma tunaomba toba kwa yote tuliyokosa kwa mawazo maneno na vitendo tusaidie tushike mwenendo mpya

Tubariki siku ya leo tukatende ya kukupendeza

Bariki kazi za mikono yetu,safari,familia,kazi,mashamba ,masomo na yote tutakayoshiriki leo

Tujenge tupende kusikiliza neno lako na kuliishi

Tusaidie tupende kusikiliza na kujifunza toka kwa wenzetu tusiwe makwazo kwa wengine

Asante Mungu kwakuwa utatenda sawa na mpenzi yako Amen

NAWATAKIA SIKU NJEMA MBARIKIWE SANA
Oh so blessed to ave you in here,u know what i mean,thanks for good article,hellow everybody
 
TUCHUKULIANE

WAGALATIA 6

1 Ndugu zangu mtu akighafilika katika kosa lolote ,ninyi mlio wa Roho mrejezeni upya mtu kama huyo kwa roho ya upole ,ukijiangalia nafsi yako usije ukajaribiwa wewe mwenyewe

2 Mchukuliane mizigo na kuitimiza hivyo sheria ya Kristo

3 Maana mtu akijiona kuwa ni kitu ,naye si kitu ,ajidanganya nafsi yake

4 Lakini kila mtu na aipime kazi yake mwenyewe ,ndipo atakapokuwa na sababu ya kujisifu ndani ya nafsi yake tu,wala si kwa wenzake

5 Maana kila mtu atalichukua furushi lake mwenyewe

WAPENDWA

Tupendane
Tuonyane
Tatizo la mwenzetu liwe letu siku zote
Tupige magoti tuombe kwa ajili ya wengine
Tuufurahie uumbaji na vyote vilivyomo

HUO NDIO UPENDO WA KWELI

MUNGU ATUSAIDIE KUCHUKULIANA MIZIGO KWA UPENDO

Asante Baba kwa kutuamsha sala ma tunaomba toba kwa yote tuliyokosa kwa mawazo maneno na vitendo tusaidie tushike mwenendo mpya

Tubariki siku ya leo tukatende ya kukupendeza

Bariki kazi za mikono yetu,safari,familia,kazi,mashamba ,masomo na yote tutakayoshiriki leo

Tujenge tupende kusikiliza neno lako na kuliishi

Tusaidie tupende kusikiliza na kujifunza toka kwa wenzetu tusiwe makwazo kwa wengine

Asante Mungu kwakuwa utatenda sawa na mpenzi yako Amen

NAWATAKIA SIKU NJEMA MBARIKIWE SANA
mama mchuchu ubarikiwe sana kwa neno
 
cae784b1f97a7004fc597f20a55a2e60.jpg
c9aa709cf7fa8ead5b6e796e544a1907.jpg
Ndo aliyemtengeneza Big Fella wakiwa Everton na kuhama naye kumleta Man Utd LVG akashindwa jinsi kumtumia na kutoka kumuuza
Ila sasa kawa kipenzi cha Mourinho hata avurunde kucheza ni lazima yaani km Bashite na Mkulu
......
happy birthday Moyes mimacho alikua na wkt mgumu sana nikikumbuka kipindi yupo man u
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom