Ile wanayo wengi mkuuiyo avatar yako futa iweke ya mwanzo mala moja!!!!!!!!!!!!!!!!!
Sasa mkuu hiyo alama ya kiulizo (?) tunaiondoaje juu ya hayo maji?of course it was real fantastic man, nilijifunza vitu vingi sana dat day, kitu kinachonishangaza sana, tulipo fika kwenye yale maji wale askota tuliopewa getini walituambia tufanye tunachoweza kuyafanyia yale maji lakini tusithubutu kuyaweka mdomoni wala kuchota kuondoka nayo, tulijaribu kuwauliza reason behind lakini waligoma kutuambia
Usiku mwema mkuuMkuu Wanyaki wa pande zile wanahusudu/amani ushirikina ndo nilichoelezea pia
Tukutane kesho wadau
.........
Na kwako piaNawatakieni usiku mwema
Good night guyGoodnight guys
Morning how are you?Morn kapukuz
It's a nice thing to hear
WAGALATIA 6
WAPENDWA
Tupendane
Tuonyane
Tatizo la mwenzetu liwe letu siku zote
Tupige magoti tuombe kwa ajili ya wengine
Tuufurahie uumbaji na vyote vilivyomo
HUO NDIO UPENDO WA KWELI

Ubarikiwe pia mama pastorTUCHUKULIANE
WAGALATIA 6
1 Ndugu zangu mtu akighafilika katika kosa lolote ,ninyi mlio wa Roho mrejezeni upya mtu kama huyo kwa roho ya upole ,ukijiangalia nafsi yako usije ukajaribiwa wewe mwenyewe
2 Mchukuliane mizigo na kuitimiza hivyo sheria ya Kristo
3 Maana mtu akijiona kuwa ni kitu ,naye si kitu ,ajidanganya nafsi yake
4 Lakini kila mtu na aipime kazi yake mwenyewe ,ndipo atakapokuwa na sababu ya kujisifu ndani ya nafsi yake tu,wala si kwa wenzake
5 Maana kila mtu atalichukua furushi lake mwenyewe
WAPENDWA
Tupendane
Tuonyane
Tatizo la mwenzetu liwe letu siku zote
Tupige magoti tuombe kwa ajili ya wengine
Tuufurahie uumbaji na vyote vilivyomo
HUO NDIO UPENDO WA KWELI
MUNGU ATUSAIDIE KUCHUKULIANA MIZIGO KWA UPENDO
Asante Baba kwa kutuamsha sala ma tunaomba toba kwa yote tuliyokosa kwa mawazo maneno na vitendo tusaidie tushike mwenendo mpya
Tubariki siku ya leo tukatende ya kukupendeza
Bariki kazi za mikono yetu,safari,familia,kazi,mashamba ,masomo na yote tutakayoshiriki leo
Tujenge tupende kusikiliza neno lako na kuliishi
Tusaidie tupende kusikiliza na kujifunza toka kwa wenzetu tusiwe makwazo kwa wengine
Asante Mungu kwakuwa utatenda sawa na mpenzi yako Amen
NAWATAKIA SIKU NJEMA MBARIKIWE SANA![]()
![]()
Karibu sanaUbarikiwe pia mama pastor
MorningMorning how are you?
Asante mama mtumishiTUCHUKULIANE
WAGALATIA 6
1 Ndugu zangu mtu akighafilika katika kosa lolote ,ninyi mlio wa Roho mrejezeni upya mtu kama huyo kwa roho ya upole ,ukijiangalia nafsi yako usije ukajaribiwa wewe mwenyewe
2 Mchukuliane mizigo na kuitimiza hivyo sheria ya Kristo
3 Maana mtu akijiona kuwa ni kitu ,naye si kitu ,ajidanganya nafsi yake
4 Lakini kila mtu na aipime kazi yake mwenyewe ,ndipo atakapokuwa na sababu ya kujisifu ndani ya nafsi yake tu,wala si kwa wenzake
5 Maana kila mtu atalichukua furushi lake mwenyewe
WAPENDWA
Tupendane
Tuonyane
Tatizo la mwenzetu liwe letu siku zote
Tupige magoti tuombe kwa ajili ya wengine
Tuufurahie uumbaji na vyote vilivyomo
HUO NDIO UPENDO WA KWELI
MUNGU ATUSAIDIE KUCHUKULIANA MIZIGO KWA UPENDO
Asante Baba kwa kutuamsha sala ma tunaomba toba kwa yote tuliyokosa kwa mawazo maneno na vitendo tusaidie tushike mwenendo mpya
Tubariki siku ya leo tukatende ya kukupendeza
Bariki kazi za mikono yetu,safari,familia,kazi,mashamba ,masomo na yote tutakayoshiriki leo
Tujenge tupende kusikiliza neno lako na kuliishi
Tusaidie tupende kusikiliza na kujifunza toka kwa wenzetu tusiwe makwazo kwa wengine
Asante Mungu kwakuwa utatenda sawa na mpenzi yako Amen
NAWATAKIA SIKU NJEMA MBARIKIWE SANA![]()
![]()