Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,971
umekuja kwetu kututembelea leoNani huyo?
umekuja kwetu kututembelea leoNani huyo?
Rafiki namtafuta yule dada yetu,umemuona huku?Ndaga fijo
wazee wa black and yellowJezi zao lazima njano iwepo
Kwenye maisha kuna mambo mengi mkuu. Kuna muda unajikuta unafanya mambo ambayo hujategemea kuyafanya.Thanks Mukulu.
kumbe we MTATA eeeh!!!.....life ban!!!
![]()
![]()
Mh too
Mchana mwingine tena, narejea kukupa habari fupi na muziki unaotawaliwa na gitaa kwa sababu naamini kikundi chochote cha muziki chenye gitaa, ngoma na watendakazi kinakuwa ni sehemu ya kumfanya msikilizaji afurahie maisha kwa namna yoyote ile. Iwe ni kwenye furaha au huzuni, nyuzi za gitaa kwenye muziki zitakupa amani.
Mchana huu tumwangalie Ramadhan Mtoro aka Dr Remmy Ongala (Sauti ya Mnyonge), gwiji hili la muziki, alipata umaarufu wake mkubwa duniani akifanya muziki wake nchini Tanzania.
Muziki wake aliuita 'ubongo beat' maana yake 'radha za akili
Pamoja na umaarufu wake duniani, hakuna mwanamuziki ambaye anaweza kusema anajulikana kama Dr remmy, alijulikana sehemu nyingi tanzania iwe ni vijijini au mjini, alikuwa ni 'Michael Jackson' wa Tanzania. Ni mwanamuzi aliyefanya ziara nyingi za kimuziki zilizosimamiwa na WOMAD na hii ilimfanya kutumbuiza na magwiji wakubwa kabisa wa muziki duniani
mtaalamu wa kupiga gitaa na kutunga mashairi ya kutetea haki za mtu wa chini, na kuikosoa serikali na kufariji wanaosikiza vibao vyake,Dr remmy pamoja na kifo chake, muziki wake bado unaishi.
Sikiza clip hii ya YouTube , sikiza gitaa hapo, linalosikika zaidi alipiga yeye.
''walipewa madaraka wakashindwa kuwajibika...., barabara mashimo matupu, shehe anauza bangi, padri anauza sabuni za msaada, saa mbili asubuhi foleni kwenye supu, ofisi ipo na nani...'
Shunie anza na hii kwanza
Miss you too shunie..Nimekumiss
Asante shemela kwa nukuu ya leoNUKUU YA LEO
We can not hope to solve our problems by pretending they do not exist
![]()
Hatuwezi kutatua matatizo yrtu kwa kujidanganya hayapo
![]()
Haya maneno yalipatwa kutamkwa na Baba wa Taifa la Tanzania Hayati Mwalimu Julius kambarage Nyerere aliezaliwa 13/04/1922 huko Butiama, mkoani Mara nchini Tanganyika.
Mwalimu Nyerere alifariki tar. 14/10/1999 akiwa na miaka 77.
![]()
Nyerere anakumbukwa kwa mengi Hapa Tanzania, Africa na Dunia nzima kwa simamia haki na usawa kwa watu wote..
Hayo maneno alitamka akimaanisha kukubali kuwepo kwa changamoto/matatizo ndio njia ya kuyatafutua ufumbuzi na jamaa inajua kuwa kuna changamoto kadha wa kadha za kutatuliwa.
Hili liko tofauti na Uongozi wa sasa hivi..Uongozi wa Tanzania baada ya miaka 50.
☞Sasa hivi kuna Hali ya njaa kwa wananchi ila viongozi wanadai Hakuna njaa nchini
☞Sasa hivi kuna upungufu wa Dawa hospitalini lakini Viongozi wetu wanadai kuna dawa za kutosha
☞ sasa hivi kuna changamoto ya Nishati hasa umeme na gesi ila utasikia tuna umeme wa kuuza kwa nchi jirani.
Taifa linahitaji uwazi na uwajibikaji wa kila mwananchi ili tuweze kufikia malengo yetu.
Mungu Ibariki Afrika,
Mungu Ibariki Tanzania.
Mchana mwema.
ok nimekusoma mkuu, lakini hyo ni tetesi tu sio official, maana away kit inakuaga ni black na hii white ni third kit.nasemea hiyo mistari
Pamoja sana.Duma![]()
Ndio mnyama wa ardhini mwenye kasi zaidi duniani anapatikani barani Afrika
Tufanye utalii wa ndani tukajionee kwa macho
Ahsanteni kwa kuwa pamoja nani
Mwisho
.............
nimeshasahau niliqoute kwenye gazeti habari ya arsenalKwa nini shemela
yaan kidogo afadhari shemelaVip mafua unaendeleaje
Hahaha...alikuwa anatia huruma sana.happy birthday Moyes mimacho alikua na wkt mgumu sana nikikumbuka kipindi yupo man u
Mmh rafiki mbona unanitisha mbona mm haunitafuti hivyo kuna mda nilionana nae mmuRafiki namtafuta yule dada yetu,umemuona huku?
Jamaa huwa wana jezi kali sana, tatizo ni rangi tu ndio kikwazo cha kuvaa uzi wao.inasemekana huu utakua ndio uzi mpya wa ugenini kwa msimu ujao 2017/18.
![]()
aisee hii id imekufanya umekua chizi ujueMh too
Safi sana, inabidi wamuenzi vilivyo gwiji wao.mkuu nimeona breaking news, uwanja wa ajax fc officially wameubadilisha jina toka Amsterdam arena saiz utaitwa Johan cruyff arena
![]()
Sanaaa yaanHahaha...alikuwa anatia huruma sana.
Mmh shemela eb tuyaache ya huyo mimacho kama haujui na wkt mlikua mnafurahiaAlikutesaje?
Pole sana shemelayaan kidogo afadhari shemela