Makapuku Forum

Makapuku Forum

13f6fa4a56e531e0577a71f7cead829f.jpg
Mussolini akiwa na swahiba wake Hitler
318a6c32a024ccd6e8b6f95e65689c4f.jpg
34338be02eaf8f4bf3419d9a02f8202e.jpg

Baada ya kumkamata walimpa adhabu gani?
...
Alikuja kunyongwa siku 3 baadae
 
706e3340798a1d22022b7458d4462719.jpg
5a0592186cf2c2f52680b14b2ee12027.jpg

Huyo ilikuwa ndo mambo zake si unajua akili za Kiafrika hasa mababu zetu
Mfano mimi babu yangu alikuwa na wake wanne na hata nikienda kijijini napishana na ndugu zangu bila kujua maana wapo wengi balaa
Sasa fikiria huyo ambaye ni Mfalme alikuwa anamilki wangapi
.........
Ana watoto ambao wanatosha kuwa na wilaya yao tu

Kweli maji hufuata mkondo
 
cae784b1f97a7004fc597f20a55a2e60.jpg
c9aa709cf7fa8ead5b6e796e544a1907.jpg
Ndo aliyemtengeneza Big Fella wakiwa Everton na kuhama naye kumleta Man Utd LVG akashindwa jinsi kumtumia na kutoka kumuuza
Ila sasa kawa kipenzi cha Mourinho hata avurunde kucheza ni lazima yaani km Bashite na Mkulu
......
Ila kwa sasa Mkubwa FELLA ameiva sana katika mechi ambazo ni za kimbinu zaidi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom