Makapuku Forum

Makapuku Forum

Sudan
5a957870e8215aae671ee0e3379ee04e.jpg

Ndio nchi yenye eneo kubwa zaidi barani Afrika
Kuna Sudan Kusini na Kaskazini hivyo sijajua km inaongelewa Sudan ya zamani kabla ya kugawanyika au inaongelewa Sudan Kaskazini/Jamhuri ya Sudan kwa Bashir
Ukubwa wake ni maili za mraba 968,000
.....
 
Siku najiandikisha hapa JF kila jina ninalolitaka kutumia naambiwa tyr linatumika, hivyo nikaamua kuchagua jina la kibabe nikakuta lipo available nikaanza kutumia.

Lakini halikuwa kipaumbele changu kabisa. Sasa baada ya kula " Life Ban " ndio nikaja na Mussolin5 baada ya Mussolini kufutwa mazima.
Aisee
 
Lugha 2000
bf999b5ab513e20394944c8e45571826.jpg

Inakadiriwa barani Afrika zinazungumzwa lugha takribani 2000...Lugha nyingi ni za kikabila/asili, ila lugha za kigeni hutumiwa zaidi km lugha za kiofisi
Kwa Tanzania makabila yote yameunganishwa kwa lugha moja yaani Kiswahili tunachotambia humu JF
Ndaga Kyala!!
.........
Ndaga fijho
 
Sudan
5a957870e8215aae671ee0e3379ee04e.jpg

Ndio nchi yenye eneo kubwa zaidi barani Afrika
Kuna Sudan Kusini na Kaskazini hivyo sijajua km inaongelewa Sudan ya zamani kabla ya kugawanyika au inaongelewa Sudan Kaskazini/Jamhuri ya Sudan kwa Bashir
Ukubwa wake ni maili za mraba 968,000
.....
Kutoka darfur mpaka Khartoum ni sawasawa na dar to bukoba, bado ni nchi kubwa
 
Tanzania, Congo (DRC) na Angola, utajili uliopo kwenye hizi nchi ni sawasawa na Bara zima la Ulaya
Mabepari wanatunyonya kisha tunawapigia magoti kuomba misaada tukipewa tunafikiri tumesaidia

Wanachimba tu madini hawalipi kodi hadi "wakijisikia wameanza kupata faida" sasa jiulizo miaka 29 mtu km jhapati faida mbona harudi kwao
......
 
Mlima Kilimanjaro
cbbe439624b056354ca9350ee68fb3e0.jpg

Ndio Mlima mrefu zaidi barani Afrika..Hapo ndio point ya juu zaidi ya bara la Afrika inapopatikana wakati point ya chini zaidi ni Ziwa Tanganyika
Siku hizi theluji omeanza kupungua juu ya kilele..ina vilele viwili (Kibo na Mapenzi)
Urefu wake ni futi 19300
.........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom