Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,226
- 68,242
1986 - Mswati wa III anakabidhiwa ufalme wa Swaziland baada ya kumrithi baba yake Sobhuza wa II.
Mwaghona kaka mwalamushaWakuu wazima niwataki siku njema na ujenzi mwema wa taifa
Asante kwa neno mama mchungajiTUCHUKULIANE
WAGALATIA 6
1 Ndugu zangu mtu akighafilika katika kosa lolote ,ninyi mlio wa Roho mrejezeni upya mtu kama huyo kwa roho ya upole ,ukijiangalia nafsi yako usije ukajaribiwa wewe mwenyewe
2 Mchukuliane mizigo na kuitimiza hivyo sheria ya Kristo
3 Maana mtu akijiona kuwa ni kitu ,naye si kitu ,ajidanganya nafsi yake
4 Lakini kila mtu na aipime kazi yake mwenyewe ,ndipo atakapokuwa na sababu ya kujisifu ndani ya nafsi yake tu,wala si kwa wenzake
5 Maana kila mtu atalichukua furushi lake mwenyewe
WAPENDWA
Tupendane
Tuonyane
Tatizo la mwenzetu liwe letu siku zote
Tupige magoti tuombe kwa ajili ya wengine
Tuufurahie uumbaji na vyote vilivyomo
HUO NDIO UPENDO WA KWELI
MUNGU ATUSAIDIE KUCHUKULIANA MIZIGO KWA UPENDO
Asante Baba kwa kutuamsha sala ma tunaomba toba kwa yote tuliyokosa kwa mawazo maneno na vitendo tusaidie tushike mwenendo mpya
Tubariki siku ya leo tukatende ya kukupendeza
Bariki kazi za mikono yetu,safari,familia,kazi,mashamba ,masomo na yote tutakayoshiriki leo
Tujenge tupende kusikiliza neno lako na kuliishi
Tusaidie tupende kusikiliza na kujifunza toka kwa wenzetu tusiwe makwazo kwa wengine
Asante Mungu kwakuwa utatenda sawa na mpenzi yako Amen
NAWATAKIA SIKU NJEMA MBARIKIWE SANA![]()
![]()
Uwe unapitia kwenye kisandukummh bahasha ikiingia sipat notification sijui nifanyeje
Leo Katika Historia:
1945 - Ni siku ya ukombozi ndani ya Italy ( Liberation day ) ambapo waitaliano wanaadhimisha siku ya kudondoka kwa utawala wa Kifashisti na kukamatwa kwa Dikteta wa Nchi hiyo Benitto Mussolini.
MuhimuShululu shukran kwa magazetiii
Hivi haiwezekani napo kukawa na uchambuzi wa kina wahabari nyetii?zilizotawala kwenye vichwa vya habar vya magazeti mengi?
Nina mashaka na utajiri wa Gwajima
Asante mama mtumishi, hapa makapuku tunapata kila kituAsante kwa magazeti mkuu Shululu ubarikiwe kazi yako ni njema
Leo ni shululu amekaimu kitengo
Ni Shululu Obe ametuma magazeti,umeamkaje lakini ubarikiwe sana
Funguka sasaNina mashaka na utajiri wa Gwajima
Amen Asante sana Obe siku njema nawe pia ubarikiweUwe na siku njema BH
UbarikiweMagazeti haya yamewajiwa kwa udhamini mnono wa Kante kupitia Lee ambaye leo anadharula
Tukutane kesho, jumanne njema makapuku wote
1986 - Mswati wa III anakabidhiwa ufalme wa Swaziland baada ya kumrithi baba yake Sobhuza wa II.
R.I.P Cruyff1947 - Johan Cruyff anazaliwa.
Staa wa zamani wa Ajax, Barcelona na timu ya taifa ya Uholanzi.
Mmoja kati ya wanasoka bora kuwahi kutokea Duniani.
Ndio muasisi wa chuo maarufu cha soka cha Barcelona, La Masia.
Baada ya United alienda Spain1963 - David Moyes anazaliwa.
Kocha wa sasa wa Sunderland ambaye pia amewahi kufundisha katika vilabu vya Everton na Man Utd.