Nyagei
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 13,201
- 44,601
Tukapime malaria jamani- Leo ni siku ya Malaria Duniani.
Tukapime malaria jamani- Leo ni siku ya Malaria Duniani.
Ahsante mkuu kwa historiaLeo Katika Historia:
Niwatakie siku njema.
1963 - David Moyes anazaliwa.
Kocha wa sasa wa Sunderland ambaye pia amewahi kufundisha katika vilabu vya Everton na Man Utd.
HayaAnataka kuleta treni yake, nitaisoma baadae hiyo habari
1976 - Tim Duncan anazaliwa.
Mchezaji wa zamani wa mpira wa kikapu aliyechezea timu ya San Antonio Spurs katika ligi ya NBA.
Mmoja kati ya wachezaji wenye mafanikio zaidi katika historia ya NBA.
Upo kwenye damuHivi hata babaye nae alikuwa ni mtu wa totoz?
Mondray atakuja kuchungulia jana aliumia sana juu yakoNipo okey japo ray kanikimbia
Asante kiongozi

DahUpo kwenye damu
- Leo ni siku ya Malaria Duniani.
Shukrani kamandaLeo Katika Historia:
Niwatakie siku njema.
Hata mie naumia juu yake ngoja nimsubiriMondray atakuja kuchungulia jana aliumia sana juu yako
Hivi hata babaye nae alikuwa ni mtu wa totoz?
AmenTUCHUKULIANE
WAGALATIA 6
1 Ndugu zangu mtu akighafilika katika kosa lolote ,ninyi mlio wa Roho mrejezeni upya mtu kama huyo kwa roho ya upole ,ukijiangalia nafsi yako usije ukajaribiwa wewe mwenyewe
2 Mchukuliane mizigo na kuitimiza hivyo sheria ya Kristo
3 Maana mtu akijiona kuwa ni kitu ,naye si kitu ,ajidanganya nafsi yake
4 Lakini kila mtu na aipime kazi yake mwenyewe ,ndipo atakapokuwa na sababu ya kujisifu ndani ya nafsi yake tu,wala si kwa wenzake
5 Maana kila mtu atalichukua furushi lake mwenyewe
WAPENDWA
Tupendane
Tuonyane
Tatizo la mwenzetu liwe letu siku zote
Tupige magoti tuombe kwa ajili ya wengine
Tuufurahie uumbaji na vyote vilivyomo
HUO NDIO UPENDO WA KWELI
MUNGU ATUSAIDIE KUCHUKULIANA MIZIGO KWA UPENDO
Asante Baba kwa kutuamsha sala ma tunaomba toba kwa yote tuliyokosa kwa mawazo maneno na vitendo tusaidie tushike mwenendo mpya
Tubariki siku ya leo tukatende ya kukupendeza
Bariki kazi za mikono yetu,safari,familia,kazi,mashamba ,masomo na yote tutakayoshiriki leo
Tujenge tupende kusikiliza neno lako na kuliishi
Tusaidie tupende kusikiliza na kujifunza toka kwa wenzetu tusiwe makwazo kwa wengine
Asante Mungu kwakuwa utatenda sawa na mpenzi yako Amen
NAWATAKIA SIKU NJEMA MBARIKIWE SANA![]()
![]()

Hakika mkuu, leo nakuwa mwananchi wa kawaida tu.Kumbe leo ni siku yako ya kuangushwa kwa utawala wako
Poa shululu. Mambio vpMorning
Shukrani kwa magazeti