shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Kwa nini shemelashemela wangu hapa meno yote nje
Asante shemela wangushemela wangu asante sana kwa magazeti
ubarikiwe sana kwa kumuwakilisha bae wangu tunakupenda
Vip mafua unaendeleajena kwako pia shemela
Alikutesaje?happy birthday Moyes mimacho alikua na wkt mgumu sana nikikumbuka kipindi yupo man u
nisubiri twende wote
hiyo yellow ingekuwa black ingevutia zaidiinasemekana huu utakua ndio uzi mpya wa ugenini kwa msimu ujao 2017/18.
![]()
mkuu nimeona breaking news, uwanja wa ajax fc officially wameubadilisha jina toka Amsterdam arena saiz utaitwa Johan cruyff arena1947 - Johan Cruyff anazaliwa.
Staa wa zamani wa Ajax, Barcelona na timu ya taifa ya Uholanzi.
Mmoja kati ya wanasoka bora kuwahi kutokea Duniani.
Ndio muasisi wa chuo maarufu cha soka cha Barcelona, La Masia.
Twende tunisubiri twende wote
Hii yellow ndio nembo ya timu mkuu, ilikua ni lazima hii rangi iwepo ili kuitambulisha timu.hiyo yellow ingekuwa black ingevutia zaidi
Jezi zao lazima njano iwepohiyo yellow ingekuwa black ingevutia zaidi
Mhtunaomba kuwa member humu ndani mimi na huyu mtu 🙂 🙂
Baba paroko shikamooChief upo juu
Asante Bitoz ubarikiweDuma![]()
Ndio mnyama wa ardhini mwenye kasi zaidi duniani anapatikani barani Afrika
Tufanye utalii wa ndani tukajionee kwa macho
Ahsanteni kwa kuwa pamoja nani
Mwisho
.............
NimekumissKuingia tuu humu tayari wewe ni member...
Karibu makapuku..
teh n ke huyo shemelaWa kuchat, pia toa like upate like
Wewe ni ke au me?
nasemea hiyo mistariHii yellow ndio nembo ya timu mkuu, ilikua ni lazima hii rangi iwepo ili kuitambulisha timu.
Ndaga fijoLugha 2000![]()
Inakadiriwa barani Afrika zinazungumzwa lugha takribani 2000...Lugha nyingi ni za kikabila/asili, ila lugha za kigeni hutumiwa zaidi km lugha za kiofisi
Kwa Tanzania makabila yote yameunganishwa kwa lugha moja yaani Kiswahili tunachotambia humu JF
Ndaga Kyala!!
.........
fakalava za wwShwari Mkuu, ni mwendo wa makamuzi.