Makapuku Forum

Makapuku Forum

20aeb9f520b92103a650dd615af75011.jpg

Fuata nyuki...
...
Hapana chezea asali!!!.....ni kijiko kimoja cha asali ni kazi ya maisha kwa watenda kazi 12 tena wasiotega kama binadamu!!!
 
Bara la Afrika
603224d8fefc70a5acab07fdbd612165.jpg

Ni bara la pili kwa ukubwa lina maili za mraba 11.7 Milioni
Lina nchi zaidi ya 50...ndo bara la pili lenye watu wengi takribani zaidi ya bilioni 1
Ndio bara lenye joto zaidi duniani
Bara lenye watu mbumbumbu kuliko yote{kwa Tz ChifuMangungo ndo supastaa)
.......
 
Uislamu
203a89a25d1d7cb55e3e6c03e83cf347.jpg

Ndio dini yenye wafuasi wengi zaidi barani Afrika ikifuatiwa na Ukristo/ukatoliki
Uislamu umesambaa zaidi Afrika Kaskazini na Magharibi, Mashabiki unapatikana zaidi kwa Waarabu wa Somalia n.k huku Kusini Waislamu wakiwepo kwa idadi ndogo

cc FaizerFix
.........
 
Huo mkasa ndio "TINAUTAMANI" uulezee N'goshi
Siku najiandikisha hapa JF kila jina ninalolitaka kutumia naambiwa tyr linatumika, hivyo nikaamua kuchagua jina la kibabe nikakuta lipo available nikaanza kutumia.

Lakini halikuwa kipaumbele changu kabisa. Sasa baada ya kula " Life Ban " ndio nikaja na Mussolin5 baada ya Mussolini kufutwa mazima.
 
Bara la Afrika
603224d8fefc70a5acab07fdbd612165.jpg

Ni bara la pili kwa ukubwa lina maili za mraba 11.7 Milioni
Lina nchi zaidi ya 50...ndo bara la pili lenye watu wengi takribani zaidi ya bilioni 1
Ndio bara lenye joto zaidi duniani
Bara lenye watu mbumbumbu kuliko yote{kwa Tz ChifuMangungo ndo supastaa)
.......
Pia ndio bara lenye utajiri mkubwa wa maliasili ila watu wake wengi ni mazuzu hivyo Wageni wanakuja kujichotea na kuondoka huku wazawa wakiwa hohehahe.
 
Siku najiandikisha hapa JF kila jina ninalolitaka kutumia naambiwa tyr linatumika, hivyo nikaamua kuchagua jina la kibabe nikakuta lipo available nikaanza kutumia.

Lakini halikuwa kipaumbele changu kabisa. Sasa baada ya kula " Life Ban " ndio nikaja na Mussolin5 baada ya Mussolini kufutwa mazima.
Thanks Mukulu.

kumbe we MTATA eeeh!!!.....life ban!!!
 
Lugha 2000
bf999b5ab513e20394944c8e45571826.jpg

Inakadiriwa barani Afrika zinazungumzwa lugha takribani 2000...Lugha nyingi ni za kikabila/asili, ila lugha za kigeni hutumiwa zaidi km lugha za kiofisi
Kwa Tanzania makabila yote yameunganishwa kwa lugha moja yaani Kiswahili tunachotambia humu JF
Ndaga Kyala!!
.........
 
Bara la Afrika
603224d8fefc70a5acab07fdbd612165.jpg

Ni bara la pili kwa ukubwa lina maili za mraba 11.7 Milioni
Lina nchi zaidi ya 50...ndo bara la pili lenye watu wengi takribani zaidi ya bilioni 1
Ndio bara lenye joto zaidi duniani
Bara lenye watu mbumbumbu kuliko yote{kwa Tz ChifuMangungo ndo supastaa)
.......
Tanzania, Congo (DRC) na Angola, utajili uliopo kwenye hizi nchi ni sawasawa na Bara zima la Ulaya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom