Patience123
JF-Expert Member
- Mar 10, 2013
- 5,092
- 8,786
Kila idara nimetimia...sema lingine..!Vigezo unavyo lakin?
Kila idara nimetimia...sema lingine..!Vigezo unavyo lakin?
Hata mimi unanisahau?The only couple ninayoielewa hapa KF ukiondoa ya kwangu

You're Warmly welcome ma'amWote wamepiga chini now am free molecule sitaki mume wa mtu. ..............

Ngoja waje wengine.Wote wamepiga chini now am free molecule sitaki mume wa mtu. ..............
Namuogopa kwasababu ana sura mbaya kama popo.Sina cha kuongea maana mwenyewe unaogopa, pia unajua mtoto aggyjay vile alivyo.
Naikumbuka sana sema nyie hamueleweki mara mtoleane maneno makaliHata mimi unanisahau?
![]()
![]()
![]()
ila Th Name na lizziebettie na yakwangu binafsi japo sijaamua kuiweka hadharani hatuna mambo mengi
Hahahaaa...vibaya ndo vitamu mkuu
Sawa, asante braza.Namuogopa kwasababu ana sura mbaya kama popo.
Jamani, jana tu ndo imeharibu kila kitu!Naikumbuka sana sema nyie hamueleweki mara mtoleane maneno makaliila Th Name na lizziebettie na yakwangu binafsi japo sijaamua kuiweka hadharani hatuna mambo mengi

Na yangu pia.Naikumbuka sana sema nyie hamueleweki mara mtoleane maneno makaliila Th Name na lizziebettie na yakwangu binafsi japo sijaamua kuiweka hadharani hatuna mambo mengi
Sasa hakikisha haijirudii, ili nawewe uwe levelsJamani, jana tu ndo imeharibu kila kitu!
![]()
Wewe wasema ila mi sijaitaja badoNa yangu pia.
Hivi sio vizuri kwetu
Vizuri ni vipi?Hivi sio vizuri kwetu
Dah!Wewe wasema ila mi sijaitaja bado
Sasa kuweka decoration ya korosho kwenye kiporo haifanyi chakula kiwe cha leo![]()
ni tofauti ya jana haikuwa na korosho
