Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,504
- 57,045
Tuko poa mkuuwapendwa mko poa
Mambo vipi.
Tuko poa mkuuwapendwa mko poa
Pamoja sana braza.Asante sana.
Ujanja umebaki mfukoni.Wakongwe wameanza kupoteana.
baridah!Tuko poa mkuu
Mambo vipi.
Tuko poa, mambo vipi?wapendwa mko poa
Mi JF yote wananijua kuwa mi sio muumini wa hizo mamboUnajua jimena naye ni church member wangu, naye ni inzi!
Jimena sizzya akutukana huku.
kama kawa mdauTuko poa, mambo vipi?
Jana pilau, leo pilau huichoki?
Kwanini sasa?Naomba Nahrene asijue tafadhali.
Atakuwa anamalizia kiporo.Jana pilau, leo pilau huichoki?
Ataumia sana mkuu,namuonea huruma.Kwanini sasa?
Anataka kote kote huyu ndugu yakoKwanini sasa?
Kama unamhurumia basi tulia nae usimuumizeAtaumia sana mkuu,namuonea huruma.
Hapana mkuu.Anataka kote kote huyu ndugu yako