Makapuku Forum

Makapuku Forum

c96ada755f302a813db6e1267cb7a432.jpg
Sure
 
Mussolin5 kwa wale wapenzi wa American blues halisi, leo ni siku ambapo amezaliwa Muddy Waters gwiji la blues mwaka 1915, so tunapowasikiza kina Buddy Guy, Clapton, BB King hawa nyimbo zao na mengi waliyofanya yalikuwa sababu ya huyu jamaa.

Ukimsikiza huku kichwani BAC odometer inasoma(blood alcohol content) 0.8% basi unarusiwa kufanya lolote kwa umpendaye


H.B.D
 
Mungu ni muaminifu, hakika ametupa neema ya kuniona siku nyingine tena!!!

Mmeamkaje wana kapuku

Shunie na shemeji Mmeamkaje jamani!!!

T mume wangu Usisahau kusali, ili Mungu atuongoze siku nzima ya leo...

Kakangu Q na wengine mashemeji zangu ni muda wa kuamka, kusali na kupiga zoezi kidogo...

T Nakupenda sanaa jamani!!!

Muwe na siku yenye tabasamu tele na Mungu wangu awabariki, nawapenda woote but I love my T da most!!!!!!
Amen shem barikiwa katika mipango yako ya leo
 
Wapendwa Makapuku namshukuru Mungu kutuamsha salama na kutufikisha umbali huu,tunapaswa kumshukuru Mungu kwa yote anayotutendea maana anatupenda anatutunza na hajatuaacha katika mapito yote wako wengi wanatamani kuwa kama sisi hawajaweza,wengine hawajaamka kabisa,wengine wako vitandani wanaugulia na hata wengine hawana tumaini tena tumuombe Mungu atusaidie kuwa wavumilivu tunapopitia changamoto mbalimbali maana ndio ubinadamu,naomba Amani itawale ,upendo na mshikamano ....tufanye kazi kwa bidii huku tukimshirikisha Mungu katika kila jambo ..nawatakia jumanne njema ndoto zetu zikafanikiwe..nawapenda sana sana muwe na kila sababu ya kufurahia maisha na zawadi hii adimu ya uhai tuliopewa na baraka zote..Amen
Amen
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom