BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
Mmmh!...hii sala ndefu sana, nasubiri tangazo la sadaka tu sasa
Mmmh!...hii sala ndefu sana, nasubiri tangazo la sadaka tu sasa
R.I.P Martin Luther KingTarehe kama ya leo, mwanaharakati wa HAki za Weusi katika USA, Martin Luther King Jr anauawa kwa kupigwa risasi hotelini huko Memphis,Tennessee.
Muuaji wake alikamatwa na kufungw miaka 99.
Mussolin5 kwa wale wapenzi wa American blues halisi, leo ni siku ambapo amezaliwa Muddy Waters gwiji la blues mwaka 1915, so tunapowasikiza kina Buddy Guy, Clapton, BB King hawa nyimbo zao na mengi waliyofanya yalikuwa sababu ya huyu jamaa.
Ukimsikiza huku kichwani BAC odometer inasoma(blood alcohol content) 0.8% basi unarusiwa kufanya lolote kwa umpendaye
Ukweli ndiyo huo shunie!hahahhaah joshy umeanza mambo yako

Amen asante kwa historia mkuu Mussolin5 ubarikiweLeo katika Historia:
Niwatakie siku njema.
Goodmorning sir be BlessedGoodmorning peoples
Mhhhhh!duuh...umeenda na viatu vyangunasikia upo ofisini muda huu![]()
![]()
![]()
. ...
Miss you so much, mamiloo.Sure
Miss you tooMiss you so much, mamiloo.
Amen asante kwa tafakari

Salama tu mama mchungajiAmen Amen mkuu za uzima
Amen mkuuSiku nyingine tena Makapuku, tuwe na siku njema
Amen shem barikiwa katika mipango yako ya leoMungu ni muaminifu, hakika ametupa neema ya kuniona siku nyingine tena!!!
Mmeamkaje wana kapuku
Shunie na shemeji Mmeamkaje jamani!!!
T mume wangu Usisahau kusali, ili Mungu atuongoze siku nzima ya leo...
Kakangu Q na wengine mashemeji zangu ni muda wa kuamka, kusali na kupiga zoezi kidogo...
T Nakupenda sanaa jamani!!!
Muwe na siku yenye tabasamu tele na Mungu wangu awabariki, nawapenda woote but I love my T da most!!!!!!
Ahsante Katibu kwa magazeti ya leoTuwe na Siku njema wakùu kugufurika jadi yetu ilii at the end ni kunyanyua mguu juu kusherekea tulichokipata kwa siku![]()
Karibu sana BATULUNGE huku ndio kwa MakapukuNdio nimeingia humu ndani kwa Mara ya kwanza kwenye familia ya makapuku, hivyo kabla sijaendelea na mengine naomba ningependa kuwajukia hali wenyeji wa humu
Vipi kamandaHahahaha
AmenWapendwa Makapuku namshukuru Mungu kutuamsha salama na kutufikisha umbali huu,tunapaswa kumshukuru Mungu kwa yote anayotutendea maana anatupenda anatutunza na hajatuaacha katika mapito yote wako wengi wanatamani kuwa kama sisi hawajaweza,wengine hawajaamka kabisa,wengine wako vitandani wanaugulia na hata wengine hawana tumaini tena tumuombe Mungu atusaidie kuwa wavumilivu tunapopitia changamoto mbalimbali maana ndio ubinadamu,naomba Amani itawale ,upendo na mshikamano ....tufanye kazi kwa bidii huku tukimshirikisha Mungu katika kila jambo ..nawatakia jumanne njema ndoto zetu zikafanikiwe..nawapenda sana sana muwe na kila sababu ya kufurahia maisha na zawadi hii adimu ya uhai tuliopewa na baraka zote..Amen
AmenMorning
Mungu aibariki siku hii ya leo