Nyagei
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 13,201
- 44,601
Psalms 150
Zaburi 150
Tumsifu Mungu pekee kwa maana yeye ndiye muamuzi wa yote katika maisha yetu,
Ametupa nguvu, uwezo na akili ya kupambanua mambo mbali mbali ili tuweze kumsifu yeye kupitia majaribu yanayotukumba kila siku.
Ewe Kapuku mwenzangu hebu jitafakari umefanya lipi la kumpendeza yeye mpaka sasa unapumua?
Be blessed kwa kunielewa.
USIKU MWEMA