Werrason
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 13,224
- 39,937
Acha maneno ya kusadikika mdogo wangu
Dada dada dada dada huyooo dada dada huyooo

Acha maneno ya kusadikika mdogo wangu
Dada dada dada dada huyooo dada dada huyooo

Mie pia Nakupenda ila T nampenda zaidi jamaniNdo maana nakupendaa shem
hakuna namnaMmmmmh
Mie nikikosa nipigwe tuu maana hamna namna ingineMmh mtu ana mahasira yake hapana kwakweli
Jamaaaaaan sikupigiii ataana mambo ya kupigwa na nyumba naweza kuondokanikarud siku nyingine
Poamakapu wenza ujue atujuane nawaomba tukutane Central uje na T-shirt lenye jina lako la jf tujuane tuweze kusaidiana kimaisha tukutane Polisi Central
Nnndioyaan mukongooooo

Huyu mrembo shunie ulimteka lini Mkuu?Usichekeee mkuu
Kingine kipo ila hakipo kivileeeShem ni hicho chakula tu au kuna lingine
Hahahaha Shuniehunnie rudisha ile avatar ya mwanzo ya maneno![]()

Kofi la mpenzi haliumi

Hahaha cjui nani kamficha jamnwazima karibu sana Snipes yuko ap
SanteKalib
Wadhima
Athent
Vipi tena
rudi utaelewa
Ukiruhusuu najaribuuUchochezi gani tena jamani
Au nimwambie achepuke
bora baby nikikosea nikiomba msamaha nisamehe tu usifike kwenye kupigaJamaaaaaan sikupigiii ataa
Wakatiii mm napenda ukokoMke gani unapikia microwave na toaster tu!!!
Ahsante. NiambieKaribu Aisha!
Binafsi Mimi Niko poa sana.
hahahhaah joshy umeanza mambo yakoHuyu mrembo shunie ulimteka lini Mkuu?
Sema tu basi.