Makapuku Forum

Makapuku Forum

Morning family..

Tuombe

Ikiwa ni siku nyingine mpya na Siku mpya ya Jumanne , MUNGU wetu ,hakuna MUNGU kama, wewe ni Mkuu, ahsante sana kwa ulinzi wako usiku wa Leo kwa Kila mmoja wetu

Tunaomba ulinzi wako na Baraka zako kwa Kila mmoja wetu, miongoni mwetu na kila jambo tulifanyalo kwa ajili ya riziki zetu zote tukafanye kwa utakatifu wako..

Nasi pia tukabarikiwe na kuwa viumbe wapya katika maisha yetu.. Tunakuomba hayo huku tukishuru.. AMEEEN
Amen
 
4aa530f4d39e7210187f8ffc07496879.jpg



Huo mshale una ashiria kitu gani?
 
Tears is the sign of true love..!

It shows what feels your heart!


Huwa napenda kukuangalia usoni hasa macho yako...macho yako huwa yananiambia kila kitu..

I love you S..
Asante mume wangu kipenzi!!
Huwa napenda kusikiliza sauti yako, naamini kila neno huwa linatoka kwenye sakafu ya moyo wako


Karibu chai mume wa Sakayo, mie nimechelewa kidogo leo mume wangu, ubusy!!!.

Love you husband
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom