BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
Amen nawe pia siku njema Amani ya Bwana iwe nawe.Siku nyingine tena Makapuku, tuwe na siku njema
Amen nawe pia siku njema Amani ya Bwana iwe nawe.Siku nyingine tena Makapuku, tuwe na siku njema
Karibu sana mkuuNdio nimeingia humu ndani kwa Mara ya kwanza kwenye familia ya makapuku, hivyo kabla sijaendelea na mengine naomba ningependa kuwajukia hali wenyeji wa humu
Amen ubarikiwe siku njema mummyMungu ni muaminifu, hakika ametupa neema ya kuniona siku nyingine tena!!!
Mmeamkaje wana kapuku
Shunie na shemeji Mmeamkaje jamani!!!
T mume wangu Usisahau kusali, ili Mungu atuongoze siku nzima ya leo...
Kakangu Q na wengine mashemeji zangu ni muda wa kuamka, kusali na kupiga zoezi kidogo...
T Nakupenda sanaa jamani!!!
Muwe na siku yenye tabasamu tele na Mungu wangu awabariki, nawapenda woote but I love my T da most!!!!!!
Mzee mkavu uko poaa ??Hahahaha
Ubarikiwe Lee Empire kwa magazeti uwe na siku njema ye nye mafanikio,salaam kwa ShunieTuwe na Siku njema wakùu kugufurika jadi yetu ilii at the end ni kunyanyua mguu juu kusherekea tulichokipata kwa siku![]()
Karibu sana sisi Mungu anatutetea ,ubarikiweNdio nimeingia humu ndani kwa Mara ya kwanza kwenye familia ya makapuku, hivyo kabla sijaendelea na mengine naomba ningependa kuwajukia hali wenyeji wa humu
Niko poa juxwivuMzee mkavu uko poaa ??
Asante mama mchungajiiiiUbarikiwe Lee Empire kwa magazeti uwe na siku njema ye nye mafanikio,salaam kwa Shunie
Nakuonaa unavotaka mitamaaNiko poa juxwivu
Asante kwa magazeti mkuu
Uwe na asubuhi njema
Karibu sanaAsante mama mchungajiiii
Daima na milele mama mchungajiKaribu sana
Nakuonaaa mzee mkavu wewe jitoe ufahamuuMitamaa ?
![]()
![]()
![]()
![]()
Wapi jmnWe si ulitususa lakini???!
Atakama sijui ngoja nichekeNakuonaaa mzee mkavu wewe jitoe ufahamuu
nimefanya nini juxwivuNaww pia jooh hope hua unalala humu jf maana sio kwa usiku huoSiku nyingine tena Makapuku, tuwe na siku njema
Morng MondrayNaww pia jooh hope hua unalala humu jf maana sio kwa usiku huo