Makapuku Forum

Makapuku Forum

1979 - Waziri Mkuu wa Pakistan, Zulfikar Ali Bhutto anauwawa kwa kunyongwa.
1e4ccf4092869c1dc727b28d6affb91c.jpg
9feec4bde6cb58be86ebd32cdcb71d52.jpg
62df50fb4fa3036c178eaa203d6af820.jpg
Ni baba ake Benazir Bhutto
Miaka mingi baadaye binti yake akawa Wazairi Mkuu na kuuawa kwa Bomu lililotegeshwa kwenye gari
....
 
1987 - McDonald Mariga anazaliwa.

Ni kiungo wa zamani wa Parma, Inter Milan na timu ya taifa ya Kenya.

Mkenya wa kwanza kutwaa taji la Uefa Champions League mwaka 2010 akiwa na Inter Milan ya Jose Mourinho.

Pia ni kaka wa Victor Wanyama, kiungo wa Tottenham ya Uingereza.
cfa8e447d619fcb58a521ec507aa7da6.jpg
4747663925736a076b82aaf077c8fb31.jpg
ab83afc8dd9643138fa8bb54dec264a4.jpg
26c4a42290ab9deb5ea09bbfe2579eea.jpg
Ni mtu na binamu au mama zao ndugu?
Maana ubin tofauti
....
 
Morning family..

Tuombe

Ikiwa ni siku nyingine mpya na Siku mpya ya Jumanne , MUNGU wetu ,hakuna MUNGU kama, wewe ni Mkuu, ahsante sana kwa ulinzi wako usiku wa Leo kwa Kila mmoja wetu

Tunaomba ulinzi wako na Baraka zako kwa Kila mmoja wetu, miongoni mwetu na kila jambo tulifanyalo kwa ajili ya riziki zetu zote tukafanye kwa utakatifu wako..

Nasi pia tukabarikiwe na kuwa viumbe wapya katika maisha yetu.. Tunakuomba hayo huku tukishuru.. AMEEEN
Amen Asante
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom