Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Sasa hapo tusilaumiane!!! Jifunze kumrekebisha, huwezi usilalamike.......Mmmmmmh ilianza kama deko naona inakua tabiaa
Mie toka saa kumi niko macho kumbe mdogo wangu amelala mpaka saa hii

Sasa hapo tusilaumiane!!! Jifunze kumrekebisha, huwezi usilalamike.......Mmmmmmh ilianza kama deko naona inakua tabiaa

Leo Katika Historia:
1721 - Sir Robert Walpole anakuwa Waziri Mkuu wa Kwanza wa Uingereza.
Nshaongeaa nimeshindwa si unamjuaa amenunaaSasa hapo tusilaumiane!!! Jifunze kumrekebisha, huwezi usilalamike.......
Mie toka saa kumi niko macho kumbe mdogo wangu amelala mpaka saa hii![]()
![]()
![]()
![]()
Ngoja niibe hii mistari.. nione kama wangu nae atalia.. nitaleta mrejeshoHubby
Sijui kwa nini nimelia baada ya kusoma ujumbe huu!!
Niseme tu Nakupenda Transcend only God knows how much I love you......
1850 - Los Angeles yaanza kutambulika kama Jiji.
Ndio Jiji ambalo linakaliwa na mastaa wengi wa Muziki pamoja na Filamu huko Marekani.
Hollywood pia inapatikana ndani ya Jiji hilo.
JamaniiiiNshaongeaa nimeshindwa si unamjuaa amenunaa
Yeye anasema chakufiaa nini
Kama hana hisia na wewe hawezi lia, labda umpigeNgoja niibe hii mistari.. nione kama wangu nae atalia.. nitaleta mrejesho
1949 - Umoja wa akujihami wa Nchi za Magharibi ( NATO ) yaanzishwa.
Jamaniiii
Ndo kafikia hukoo, pole shem we vumilia tu maana mahari tushayasahau na kusahau
Hahaha![]()
![]()
![]()
![]()
Ndoo maana nilimshauri mushenga alete nusu kwanza
Unafikiriii pole inasaidia ??Hahaha
Pole
Hahaha..Kama hana hisia na wewe hawezi lia, labda umpige
1968 - Martin Luther King Jr anauwawa kwa risasi na James Earl Ray katika Hotel huko Tennessee.
Mengi yanazungumzwa kuhusiana na kifo chake, Serikali ya Nchi hiyo chini ya FBI ya Edgar Hoover imehusishwa zaidi na kifo hiko.
Nini kinaweza kukusaidia sasa, maana tumekupa mdogo wetu akiwa hana changamoto yoyoteUnafikiriii pole inasaidia ??
1975 - Kampuni ya Microsoft yaanzishwa chini ya Bill Gates na Paul Allen.