Makapuku Forum

Makapuku Forum

1968 - Fernando Hierro anazaliwa.

Beki wa zamani wa Real Madrid na Timu ya Taifa ya Hispania.
92610d22920bf661f6cbe68c5a85c900.jpg
92995c72903782f4993050a5ea1b4f97.jpg
9b428f0a6e090342cc2055787be3628c.jpg
987f76b2f60f627b761ed2cb242dbeda.jpg
 
1978 - Walter Samuel anazaliwa.

Beki wa zamani wa Real Madrid, Inter Milan na timu ya taifa ya Argentina.

Moja kati ya mabeki kisiki katika zama zake hasa akiwa Inter Milan ya Jose Mourinho ambapo alitengeneza ukuta wa chuma yeye pamoja na Lucio.

Alitwaa Uefa Champions League akiwa na Inter Milan mwaka 2010.
d12bfbee6c3bdda0620be2d587cdd793.jpg
f78b77e29c805500710cd5f637ec54cb.jpg
d84131330ef5b87409a93643316d61d2.jpg
826f4666a11101b0308defdf7448ae15.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom