Makapuku Forum

Makapuku Forum

Sitakuwa hewani kwa masaa kama sita hivi. Shunie akiamka jamani mnisalimie. She is always in my mind. Ngoja Lee atambe mpaka nitakaporudi.

Sikujua kama kufika Bujumbura ni kazi namna hii. Yaani hakuna direct flight. Hii imekaaje hii? Ningejua ni afadhali hata kama ningeshukia Bukoba au Koromije halafu nikanyage petroli. Shunie I am pissed. Pray for me baby. Nitakusemesha jioni...
Utafanya mbwembwe zote ila hutopata kitu ??


Anyway ...ungepitia Ng'ara ingekuwa simple sana within 5 hrs unakuwa ushatimba
 
Mkuu sio miezi ni miaka anangang'ania mke wa mtu sijui anajitakia nn bwana mzee mkavuu

Ila nawe unatisha sema malkia nawaona nawaonaaa
mi mwenyewe nimempola bwana blessed aiiiseeh nilijivika ngozi ya simba we unafikir bila kuwa ngangali utatoboa mathalani jana alitupa mpaka
Comption nikaonekana kidume
Wacha malkia wangu aje approve kwa hili
 
Mkuu sio miezi ni miaka anangang'ania mke wa mtu sijui anajitakia nn bwana mzee mkavuu

Ila nawe unatisha sema malkia nawaona nawaonaaa
Miaka ya wapi na wewe? Sema tu nilishaacha michezo ya kitoto. Enzi zile sina breki saa hizi tungekuwa tunaongea mengine. Makapuku lakini raha sana. Yaani kule kwenye siasa kidogo tu mtu ushatukanwa. Mpaka juzi hapa nikapigwa ban mbili. Sasa hivi napaogopa kama ukoma. Nitapachungulia huko ishu ya Bashi.te ikitulia.

Asante Lee na Shunie kwa burudani tosha na ushirikiano wenu. Tuendeleeni kula huo ugali kwa pamoja...
9db83c7619cbe4c1df683ae55455496e.jpg
 
Miaka ya wapi na wewe? Sema tu nilishaacha michezo ya kitoto. Enzi zile sina breki saa hizi tungekuwa tunaongea mengine. Makapuku lakini raha sana. Yaani kule kwenye siasa kidogo tu mtu ushatukanwa. Mpaka juzi hapa nikapigwa ban mbili. Sasa hivi napaogopa kama ukoma. Nitapachungulia huko ishu ya Bashi.te ikitulia.

Asante Lee na Shunie kwa burudani tosha na ushirikiano wenu. Tuendeleeni kula huo ugali kwa pamoja...
9db83c7619cbe4c1df683ae55455496e.jpg
Najua roho unaumwa ila utafanyaje mrembo ndo kashatulia kwangu

Anyway changamoto sehemu ya maisha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom