Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,058
MkuuTuuze nchi tugawane hela kila mtu age kivyake
![]()
![]()
![]()
....
Leo siku imekuwa mbaya sana!
Leo ndio nimemchukia huyu jamaa rasmi
MkuuTuuze nchi tugawane hela kila mtu age kivyake
![]()
![]()
![]()
....
Inauma sana mkuu hivi kosa la nape ni nnNimejisikia vibaya sana magu kumdrop Nape kisa kawa mkweli na hakuwa mnafiki..
Ngoja nipige hata glass ya wine asubuhi hii hii nitoe stress...
Mii ata mgao sitakiiTuuze nchi tugawane hela kila mtu afe kivyake
![]()
![]()
![]()
....
Tuishie tu japo nduguNi hivi mwakyembe anaweza akashindwa ila mamlaka ya juu inaweza ndugu. Utawala ni balaa.
Swali la kizushi.
Umemmiss kikwete?
UsijaliMkuu
Leo siku imekuwa mbaya sana!
Leo ndio nimemchukia huyu jamaa rasmi
Kosa la nape ni kuongea ukweli..Inauma sana mkuu hivi kosa la nape ni nn
YaaniUsijali
Atafukuza mmoja then wataibuka wawili, atafakuza wawili zen wataibuka watatu ...chain itaenda hivyo kumbuka uvumilivu una kikoma
Muda ubavyosonga ndo CCM inazidi kugawanyika ....upinzani unapata nguvu
....
Tatizo upinzani nao naona kama wanajichanganya sanaTuishie tu japo ndugu
Inaboa sana
......
Mkuu
Leo siku imekuwa mbaya sana!
Leo ndio nimemchukia huyu jamaa rasmi
na mm
Morning mkuuMorning people
Hope nyote wazima
PointUsijali
Atafukuza mmoja then wataibuka wawili, atafakuza wawili zen wataibuka watatu ...chain itaenda hivyo kumbuka uvumilivu una kikoma
Muda ubavyosonga ndo CCM inazidi kugawanyika ....upinzani unapata nguvu
....
Sorry mkuu mambo yanakasirishaNini tena?