Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Kweli mkuu kazi ipo wanatuonea sanaTuacheni utani
Mwarsbu kwa Yanga ni kaa la moto bora tungekomaa na Zanaco yasingetukuta hata......halafu najiuliza kwanini kila siku timu za Bongo zinamalizia ugenini dhidi ya Waarabu na timu za West Africa kila hatua wanazokutana maana kwa UEFA taratibu zinajulikana ila kwa CAF iwe raundi ya kwanza,pili, makundi mara karibu zote tunamalizia ugenini
Bora Hayatou kang'olewa
......

