Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Kweli kabisaHata mimi, ila kajua kuendana na mazingira
Kweli kabisaHata mimi, ila kajua kuendana na mazingira
Awww....will miss you more, uwe na siku njema pia
Karibu tenaTuwe na Siku njema wakuuu...nilipita kusalimia ila mrembo kan ntakumis sana
Morning familyMmeamkaje humu ndani jamani, ni asubuhi nyingine tena iliyo njema tuliyopewa na Bwana.
Naamini wote mko salama!! Niwatakie tuu kila lenye kheri siku ya leo!!!
T na wewe uwe na asubuhi njema mume wangu!!!
Morning mkuuMorning family
Morning makapuku..
Morning my princess S...Hubby loves you...
Muwe na asubuhi murua
What?Mabadiliko ya baraza la mawaziri
MmmmmhMabadiliko ya baraza la mawaziri
Okay...i willTake care dear maana naona vijana humu wanakuja kwa kasi ya ajabu
🙂
Asante nawe piaMorning family
Morning makapuku..
Morning my princess S...Hubby loves you...
Muwe na asubuhi murua
Waziri wa katiba mpya na Mwakyembe ni waziri wa habari utamaduni na michezo.What?
Mmmmmh
Cant waitYou are welcome
Kama ni kweli hii nchi inakoenda sikoWaziri wa katiba mpya na Mwakyembe ni waziri wa habari utamaduni na michezo.
Nimesikia Star tv
Waziri wa katiba mpya na Mwakyembe ni waziri wa habari utamaduni na michezo.
Nimesikia Star tv
Hahahaha, ningemtaka ningeshachukuaNa wewe mkuu unamtaka shunie![]()
![]()
![]()
Walaii waulize waliotanguliaa ....utapotea kama waliojaribu
Maybe kuna Kitu Nape alikosea katika hili ila raisi amefanya maamuzi ya haraka sanaKama ni kweli hii nchi inakoenda siko
Huyu mzee chenga sana. Au yale mapendekezo ya kamati kumpangia raisi nini cha kufanya![]()
Stupid Sizonje
.......
Sharti litunguliweTafakari ya kipanya![]()
Mkuu kweliii naona msigwa kaisainiMaybe kuna Kitu Nape alikosea katika hili ila raisi amefanya maamuzi ya haraka sana