Sijawahi na siji kuwahi kuwa na imani na kijani yoyoteYawezekana na wewe ulimchagua
Dah watu mna mioyoo![]()
Nilikuwaga na kadi ya UVCCM nilipewa chuo japo sijawahi kushiriki chochote sasa leo ktk pekuapekua ghetto nimeikuta imenitia tu hasira nimeamua kuichana
......
Jan nilienda Malawi kwa baiskeli kutokea Kyela ni karibu tu ni mwendo wa kuelekea pale border kutokea Kyela mjini baada ya kuvuka Mto Kiwira...Wanyasa wamejazana Kyela borderAsante....jamani hamna mwenye ndugu Malawi au Zambia nikapumzike huko![]()
Ccm ni zaidi ya kinyesiDah watu mna mioyoo
Jan nilienda Malawi kwa baiskeli kutokea Kyela ni karibu tu ni mwendo wa kuelekea pale border baada ya kuvuka Mto Kiqira...Wanyasa wamejazana Kyela border
Zambia pia sio mbali kutokea Mbeya maana nilienda kuzurira huko mwezi Jan nilikuwepo Mwanjela....nahisi ww ni Mnyaki
...


ngoja nipige ukunga tu! Ntapambana hapahapa, mkimbia kwao mtumwa
Sema watz tuna mioyo ya kusamehe na kusahau....ngosha2019 akinipa ajira ntasahau yoote hayaCcm ni zaidi ya kinyesi
Haistaili kuwekwa hata kabarini
![]()
![]()
![]()
![]()
....


!!Hamna bhana km ww ni Mnyaki lazima utakuwa na nduhuzo huko mfano mimi kuna shangazi zangu , wajomba n.k huko sababu ya mwingiliano wa watu kumbuka Mbeya imepakana na nchi hizo mbilingoja nipige ukunga tu! Ntapambana hapahapa, mkimbia kwao mtumwa
Sijawahi kuipenda CCMSema watz tuna mioyo ya kusamehe na kusahau....ngosha2019 akinipa ajira ntasahau yoote haya!!
Japo kijani sitaipenda daima
PappaaHello guyz
Ninao ila ni wakwe wa dada yangu....mambo yakizidi inabidi nikapumzike kidogoHamna bhana km ww ni Mnyaki lazima utakuwa na nduhuzo huko mfano mimi kuna shangazi zangu , wajomba n.k huko sababu ya mwingiliano wa watu kumbuka Mbeya imepakana na nchi hizo mbili
.....
Bora.....sisi chuo walikua wanatudanganya eti ukiwa na kadi ukimaliza chuo unapangiwa kazi mjini, nikawaambia ntaenda kufundisha kijijiniSijawahi kuipenda CCM
Hiyo kadi nilipewa tu na Katibu wa UVCCM tawi la chuo sababu tulikuwa tunakaa gheto moja...hivyo km best yake niliamua kumpunguzia "mzigo"
......
Hellow mkongoHello guyz
Hizo story zilikuwa zinachekeshaaBora.....sisi chuo walikua wanatudanganya eti ukiwa na kadi ukimaliza chuo unapangiwa kazi mjini, nikawaambia ntaenda kufundisha kijijini
Leo hatuko sawaaNaona mnamajonzi sana..
Ngoja tuahirishe je wajua
Hello queenHellow mkongo
Nambie jembePappaa