Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,228
- 68,243
1994 - Ndege ya Jeshi la Anga la Marekani yaanguka huko Pope Air Force Base na kuua wanajeshi 24 katika tukio lililojulikana kama " Green Ramp Disaster "
Leo Katika Historia:
1919 - Dikteta Benitto Mussolini wa Italy anaanzisha harakati zake za Ufashisti huko katika Jiji la Milan.
Ndio ila maneno makali hayasaidii. Ila sio kesiSorry mkuu mambo yanakasirisha
1933 - Bunge la Ujerumani lapitisha sheria ya kumfanya Adolf Hitler awe Dikteta wa Nchi hiyo.
1977 - Rais mstaafu wa Marekani Richard Nixon, anafanyiwa mahojiano ya kwanza na mwandishi David Frost kuhusiana na sakata lake la Watergate Scandal hali iliyopelekea kujiuzulu Urais.
bado bunge la TZ sasa
amani kwako mkuuLeo katika Historia:
Kwa udhamini wa Sizonje aka Pogba wa Chattle aka Kocha Mchezaji niwatakie siku njema.
Pamoja sana.amani kwako mkuu
Kwa muono wanguUna uhakika?
1994 - Uchaguzi Mkuu wa Mexico: Mgombea wa Urais nchini humo, Luis Donaldo Colosio anauwawa siku chache kabla ya Urais na Mario Aburto Martinez.
Nawe pia siku njema kazi njema ubarikiweMuwe na siku njema wakuu!
Mida mida hivi...!
Morning mkuuMorning family
Morning makapuku..
Morning my princess S...Hubby loves you...
Muwe na asubuhi murua
Nqwe pia mkuu Livi ubarikiweTuwe na Siku njema wakuuu...nilipita kusalimia ila mrembo kan ntakumis sana
1994 - Ndege ya Jeshi la Anga la Marekani yaanguka huko Pope Air Force Base na kuua wanajeshi 24 katika tukio lililojulikana kama " Green Ramp Disaster "