BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
Mkuu Bitoz asante sana kwa historia kwa picha ubarikiwe
Naww piaWapendwa wote jioni njem mbarikiwe sana
Thanks, nilitoka kapa!!!Ni sawa na kusema dhambi
.....wanaume wanalalamikia wanawake na wanawake wanawalalamikia wanaume!!!sina undg na jokate wala hanijui ila ukweli acha usemwe wanaume mna shida sna yaan

Waaaacha!!!huyu na etoo nilikua nawapenda

Thanks PapaaLeo Katika Historia:
Niwatakie wikend njema.
How many have you tested?wanaume wote asilimia kubwa mpo hivyo hamna cha baba mchungaji wala baba paroko

Oooooooooooh vizuriiiiYaaaani nimekumis pia nilikua kwa church toka alfajiri ndio narudi..mafungo..have a wonderful time
.....talking from experience madam???kwa nn asiwepo na wanaume wote mpo hivyo kutesa wenzenu au mnafkili tuna mioyo ya plastic

shululu wangu yupo tofaut nae akimpenda mtu amempenda miss u shemela wangu

Ahsante.....Limekukumbushaaa nini baby ...au ulishawahi tendewa??
![]()
![]()
.....wanaume wanalalamikia wanawake na wanawake wanawalalamikia wanaume!!!![]()
![]()

Pole shem, usichukie waridi 7bu ya mibatuachane nayo tu nimeshatoa yangu ya rohoni basi

Kakujazani???unanijaza kama sio ww![]()

Leo katoa ya moyoniAhsante.....
We umejuaje Jokate anampenda Kiba!!!.....je kama anatafuta ndoa???hahahh wenye tabia kama yy ya kutesa mtu anaempenda