Makapuku Forum

Makapuku Forum

Anaweza sema chochote ...

Alafu udaku mbona huwa siyaaminii wanaandikaga tuu with bashite evidence
hpana siku nyingine wanakua wakweli kuhusu jokate na kiba kuna mambo mengi sana yameingia hapo kati kwahiyo inawezekana unajua kama umemchoka mwenzio mwambie tu bwana eb endelea na mambo yako kuliku kumfanyia vituko visivyokua na kichwa wala miguu nachukia sna sio siri.
 
hpana siku nyingine wanakua wakweli kuhusu jokate na kiba kuna mambo mengi sana yameingia hapo kati kwahiyo inawezekana unajua kama umemchoka mwenzio mwambie tu bwana eb endelea na mambo yako kuliku kumfanyia vituko visivyokua na kichwa wala miguu nachukia sna sio siri.
Ahaaaaaah utakuaa mdogo wake jokate ....udaku hakuna kitu
 
1978 - Didier Drogba anazaliwa huko Abidjan nchini Ivory Coast.

Mshambuliaji wa zamani wa Chelsea, Marseille, Galatsaray na timu ya taifa ya Ivory Coast.

Mmoja kati ya wachezaji bora wa wakati wote kutoka bara la Afrika.

Klabuni Chelsea anashikilia rekodi ya kuwa mchezaji wa kigeni ( Nje ya Uingereza )kuifungia timu hiyo mabao mengi zaidi.

Ni mchezaji wa mechi kubwa, kwani katika Fainali 10 alizocheza amefunga magoli 10 na kushinda mataji 10 ikiwemo Uefa Champions League mwaka 2012 dhidi ya Bayern Munich akifunga goli la kusawazisha.

Siri kubwa ya yeye kupenda kuvaa jezi namba 11 ni kwa kuea hiyo ni tarehe yake ya kuzaliwa.
 
1978 - Didier Drogba anazaliwa huko Abidjan nchini Ivory Coast.

Mshambuliaji wa zamani wa Chelsea, Marseille, Galatsaray na timu ya taifa ya Ivory Coast.

Mmoja kati ya wachezaji bora wa wakati wote kutoka bara la Afrika.

Klabuni Chelsea anashikilia rekodi ya kuwa mchezaji wa kigeni ( Nje ya Uingereza )kuifungia timu hiyo mabao mengi zaidi.

Ni mchezaji wa mechi kubwa, kwani katika Fainali 10 alizocheza amefunga magoli 10 na kushinda mataji 10 ikiwemo Uefa Champions League mwaka 2012 dhidi ya Bayern Munich akifunga goli la kusawazisha.

Siri kubwa ya yeye kupenda kuvaa jezi namba 11 ni kwa kuea hiyo ni tarehe yake ya kuzaliwa.
huyu na etoo nilikua nawapenda
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom