Makapuku Forum

Makapuku Forum

Lep katika Historia:

1983 - Pakistan yafanya majaribio ya kwanza kabisa ya silaha zake za Nyuklia.
3cf14804bbcaa825c656fc6a29e9708f.jpg
9df6dd14297d19acaf98200bd996f5a1.jpg
6547d2004f2b42cc2875f181b73a9295.jpg

Kutengeneza ht bomu la ugoro tumeshindwa
.....
 
1993 - Janet Reno anathibitishwa kama Seneta na kuapishwa siku ya pili yake na anachaguliwa kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Marekani.

Janet anakuwa mwanamke wa kwanza katika historia ya Taifa hilo kuwa Mwanasheria mkuu wa nchi hiyo.
10430cbfef0e1e541a6beb61b952b5ee.jpg
712c5240393787588ff1dc6b49b34dfb.jpg
e2d8fa83210a1143ad9ba2ca85e18d63.jpg

Hajapitia Harvard? Maana huzalisha wanasheria mahiri ht Change masikia kasoma hapo ila taaluma yake kaiweka mfukoni anafanya mambo kisiasa
.......
 
1978 - Didier Drogba anazaliwa huko Abidjan nchini Ivory Coast.

Mshambuliaji wa zamani wa Chelsea, Marseille, Galatsaray na timu ya taifa ya Ivory Coast.

Mmoja kati ya wachezaji bora wa wakati wote kutoka bara la Afrika.

Klabuni Chelsea anashikilia rekodi ya kuwa mchezaji wa kigeni ( Nje ya Uingereza )kuifungia timu hiyo mabao mengi zaidi.

Ni mchezaji wa mechi kubwa, kwani katika Fainali 10 alizocheza amefunga magoli 10 na kushinda mataji 10 ikiwemo Uefa Champions League mwaka 2012 dhidi ya Bayern Munich akifunga goli la kusawazisha.

Siri kubwa ya yeye kupenda kuvaa jezi namba 11 ni kwa kuea hiyo ni tarehe yake ya kuzaliwa.
5c51a15fbcca3f2eedce281027538e5b.jpg
ac3ba3bbd0e05f41dbe01d9003e8f552.jpg
095c39eef6886d1cb0e4901ad5516929.jpg
acda6f53fe2ad6b9dfe777cebaa17eb9.jpg
c182d103f050a14cef1dfbc0c61fac77.jpg

Abgekuwa mzungu angeimbwa sana
Anachoniboa ni kuweka karikiti km demu
....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom