Iyegu
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 6,276
- 12,424
ni janssenNakushukuru sana kwa kuniletea jansenn ubarikiwe
ni janssenNakushukuru sana kwa kuniletea jansenn ubarikiwe
ni noma hawa watu nawaheshimu sanaUgunduzi ni safari ndefu
Ni majaribio kibao
......
Huyu aliigundua hii kumtega mgoni wake.. Mkewe alikuwa anachepuka mzee akisafri mbali.. Anaitega kidume kikiingia tu bunduki inafyatuka automatikalii..8.Sir Hiram Stevens Maxim;mgunduzi wa "AUTOMATIC GUN" 1895.
![]()
Asante sana bloodni janssen
Huyu aliigundua hii kumtega mgoni wake.. Mkewe alikuwa anachepuka mzee akisafri mbali.. Anaitega kidume kikiingia tu bunduki inafyatuka automatikalii..
![]()
![]()
![]()
Fix za tycoon makaveli jr.


Alikuwa ni faraday kama sikosei katika ugunduzi wa taa alifanya majaribio zaid buku mpaka kuja kufanikiwaUgunduzi ni safari ndefu
Ni majaribio kibao
......
Uko pingo au lusonga shululuMimi nipo nyuma ya chuo cha ualimu
Yaani wanatia aibu
Wanaibishana tu
Wao Mapangaboi
Sisi Airbus
Wapi na wapi
![]()
![]()
![]()
........

OkNtakutafta mkuu, ngoja nimalze mambo fulani
YeahHahaa... Hali matunda mpaka yamemkasirikia.. Yanampiga makwenzi
![]()
![]()
![]()
Yaani wanatia aibu
Wanaibishana tu
Wao Mapangaboi
Sisi Airbus
Wapi na wapi
![]()
![]()
![]()
........




Niko poa lakini....asante jiraniPole sana jirani yangu, hata husemi tuje kukuona
Poa, Vipi pande hizo?Oya.. Kongoman niaje!?
PingoUko pingo au lusonga shululu
Hamna cha kujistukia wala nini, umejaa maneno ya shombo af watu huwa wanakuchora tu, sema wanakupotezea for the sake of otherz!!! Jifunze kuishi na watu, kuwaheshimu n.kUmejishtukia?
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
........
Safari njema na mrudipo.Jamani nashukuru kwa meseji zenu za faraja mlizonitumia, tulizika salama jana jioni.
Ahaaa huko nilipaona april pamechangamka, ukija chuga tutaongea zaidi,,, nategemea kuondoka soon nikiweka mambo sawa hapaPingo
Imekaaje hiyo, hebu tupe maana Habari nyingine hatunazoBaadae wakuu niko shambani, karibuni fursa za mashamba na viwanja chalinze
Poa poaAhaaa huko nilipaona april pamechangamka, ukija chuga tutaongea zaidi,,, nategemea kuondoka soon nikiweka mambo sawa hapa