Makapuku Forum

Makapuku Forum

1955 - Jorge Valdano anazaliwa.

Ni mwanasoka wa zamani wa Argentina.

Pia kwa sasa ni kocha.
Screenshot_2016-10-04-09-01-05.png
Screenshot_2016-10-04-09-00-53.png
Screenshot_2016-10-04-09-01-28.png
 
1990 - Ni siku ya Muungano nchini Ujerumani.

Ambapo Ujerumani Mashariki na Ujerumani Magharibi zamaliza tofautu zao na kuungana upya na kuwa Nchi moja.

Kabla ya hapo nchi hizo zilitenganishwa na Ukuta wa Berlin.
Sorry kwa kukurudisha nyuma.. Hiv kwanin hizi ujeruman zilitengana!!? Na zilitengana mwaka ganj!? Kama kuna vinyama nyama jazilizia hapo, sie tuliokimbia history darasan tuna shkda kweli..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom