makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,860
- 104,024
Mie nafurah sana kuona nyie wawili mko na furaha, furaha yenu nyinyi ni sehem ya furaha ndani ya ndoa yangu..Yeah na nimefurahi sana
Im proud of u shemej
Mie nafurah sana kuona nyie wawili mko na furaha, furaha yenu nyinyi ni sehem ya furaha ndani ya ndoa yangu..Yeah na nimefurahi sana
Tena wao wanapita kimyakimyaHivi ndivyo inavyotakiwa ,sio kama wale vingongo masinichi
Hahaa... Hali matunda mpaka yamemkasirikia.. Yanampiga makwenziUongeze kula matunda

Si haba kwa sisi leo ila kipindi chao waliishi miaka miaka mingi mnoMiaka 70 si haba
Straight to an answerSi useme tu kama kweli au sio kweli?
7.Zacharias Janssen;mgunduzi wa "hadubini"(microscope),ila kuna wanaosema kuwa iligunduliwa na baba yake na sio yeye(imeandikwa Wikipedia).aligundua kati ya mwaka 1590-1595.
![]()
Wanajitahidi kuiga ila wamekongoroka mda wao umekwisha hawawezi kukimbizana na farasi wakati wao ni makobe....Tena wao wanapita kimyakimya
Sisi tunawaziba midomo kwa vitendo
Wanakuja hapa kutukana kwa ID zao feki huwa hatuwajibu(TUNAWAIGNORE)
Ndo siri ya thread kusonga mbele
. ......

Taratibu basi hujui km wanatusomaWanajitahidi kuiga ila wamekongoroka mda wao umekwisha hawawezi kukimbizana na farasi wakati wao ni makobe....![]()
Fantastic jamaa namuheshimu amekua ni kitovu cha laboratory
Haaaahaaaa, likiwapata wataibukaTaratibu basi hujui km wanatusoma
![]()
![]()
![]()
........
Ugunduzi ni safari ndefuFantastic jamaa namuheshimu amekua ni kitovu cha laboratory
Inabidi wajue sisi sio kama wao tunaongeaga bila kujivungaTaratibu basi hujui km wanatusoma
![]()
![]()
![]()
........
ngoja niwafatepoaPoa kamanda
Mi natoka
Baadaye kidogo
............
poaAsante kitabu
Nakushukuru sana kwa kuniletea jansenn ubarikiwekwa niaba ya wote waliofanikisha "Yaliyomo Kitabuni"
....mimi naitwa The Book wa Makapuku
tukutane tena kesho.