Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
Lima matikiti nduguYaah! Huko viwanja wanauza bei rahisi sana..
Mama yangu alinunua heka 5 hapo 2011 na ametugawanyishia wanawe wote.
Mashamba yapo tu hayana kazi.
Nilikuwa nafikiri kuja kulima hapo ila sijajua ni kilimo gani kitalipa ktk mazingira hayo.
Ngoja mkuu nkufwate Pm ili unisaidie hilo jambo kidogo![]()
![]()
.......
