Iyegu
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 6,276
- 12,424
nipo peke anguMorning kitabu family haijambo?
nipo peke anguMorning kitabu family haijambo?
Nimeamka salama kabisa jirani, vp weweUmeamkaje Shululu Jirani yangu....
[emoji23][emoji23][emoji23]Rais wa wazoa taka
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji125] [emoji125] [emoji125]
.......
Nimefika now....Mbona hufiki?
[emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40]Nasikia umechangia miguu[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Acha dharau...ujue nakukariri,siku nikiwa raisi ujiandae kutumbuliwa BITOZ WW.Rais wa wazoa taka
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji125] [emoji125] [emoji125]
.......
Miss you more my sister [emoji9], halafu kuna ishu ntakwambia ngoja niisikilizie kwanza.Salama pacha
Miss you
Mimi nipo nyuma ya chuo cha ualimuHuku makazi mapya wanaita makazi ya masoja, hapa barabara mpya ya lami kuelekea magindu
Hiyo tunaitaga LIMBWATESTNdio nmeshaosha vyombo, nmeshadeki sasa nafanya hv[emoji116] View attachment 411859
Jamani hii misiba hii jaman inaumiza sana. [emoji22][emoji22]Alifiwa na bbake mkubw juzi na jana alienda kuzika tanga
Dustbin ForumMambo toz? uniwie radhi naanzaje kwenda vingongo forum[emoji46]....Makapuku is more than a family aisee! nilikuwa naumwa umwa kidogo ila nimerudi tena kama kawa.
Naona unampromote yule mdogo wako wa mwisho Kf [emoji23][emoji23]
Ndio fasheni hiyo au...![emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23]Nasikia umechangia miguu[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Mambo ya beach yetu hayo
Wana wivu tu hawana lolote[emoji2][emoji2], mi sikuwa nimeingia JF kwa ujumla.Dustbin Forum
[emoji117] [emoji208] anapost upuuzi tu na kuitaita majina
Hakuna anayewasimanga
Kazi yao kutusemasena sisi hapahapa au kutuanzishia thread za kutuponda
Hawana swaga wala ubunifu
Kweli mti wenye matunda ndo hupigwa mawe
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
......
Hiyo ndoto ni km kuita VF kuifunika KFAcha dharau...ujue nakukariri,siku nikiwa raisi ujiandae kutumbuliwa BITOZ WW.
Na hapo ni Kinshasa
Nzuri sana, kwako vpza athubuhii???nimepita kulike huko naona nashindwa,hamjambo????
Haaaahaaaa haaaahaaaaRais wa wazoa taka
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji125] [emoji125] [emoji125]
.......