Makapuku Forum

Makapuku Forum

Mambo toz? uniwie radhi naanzaje kwenda vingongo forum....Makapuku is more than a family aisee! nilikuwa naumwa umwa kidogo ila nimerudi tena kama kawa.
Dustbin Forum
sir anapost upuuzi tu na kuitaita majina
Hakuna anayewasimanga
Kazi yao kutusemasena sisi hapahapa au kutuanzishia thread za kutuponda
Hawana swaga wala ubunifu

Kweli mti wenye matunda ndo hupigwa mawe

......
 
Dustbin Forum
anapost upuuzi tu na kuitaita majina
Hakuna anayewasimanga
Kazi yao kutusemasena sisi hapahapa au kutuanzishia thread za kutuponda
Hawana swaga wala ubunifu

Kweli mti wenye matunda ndo hupigwa mawe

......
Wana wivu tu hawana lolote, mi sikuwa nimeingia JF kwa ujumla.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom