Makapuku Forum

Makapuku Forum

Yoyote anaweza toa wazo au kuanzisha ishu

Mi nina mpango km muda ukiruhusu akirudi Joto City nitamtafuta nionane nae
................
Kama atatoa ushiriano hata huko faragha anayeguswa akimjia ampe mawasiliano amshike mkono wa pole, sisi ni family ni vyema tukapanua wigo wa uhusiano japo hapa jukwaani hatuwezi kujiweka wazi kimawasiliano.
Cc mussolin5
 
Wazo zur bitoz, kama angekuwa anarudi leo nami ninge mcheki
Binafsi sijawahi onana nae
Lakini kitambo nilikuwa nafikiria kuonana nae 7bu aliwahi kusema anapafahamu huku Luhanga kwahiyo nahisi nipo karibu naye

Muda ukiniruhusu pindi akirudi Dar nitamtafuta.......urafiki wa kweli unavuka mipaka ya KF(Wapo niliowahi kuonana nao)
............
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom