Kwani waswid ndio watata??Ni Msweden?
Kamnywesooo!!
Hhmm.. Mimi hapana kwa kweli, hawaniwez ng'o niko fiti.. Hata mama watoto nae hawawez kumteka namlinda 24:7... Pilika pilika tu zilikamata kasi si unajua tena..Kuna Kingongo kawateka Makapuku?
Kuna vichwa vi4 vya ukweli havijatokea leo
Sio bure
*Afande
*BitterP
*2pac Mafujo
*Malavidavi B
..............
Morng bro!!Morning all kapuku
Aje mzee kigli!!Mambo vp
Nahisi kuna timu pale inaitwa rosario centralLeo katika Historia:
1725 - Mji wa Rosario waanza kutambulika rasmi huki Argentina.
Mji huu pia ndipo alipozaliwa mwanasoka mahiri wa wakati wote, Lionel Messi.
Nakuja kabla bitoz hajaniwahi!!!

Asante sana kwa magazeti ya leo Ankali JJView attachment 411801View attachment 411802View attachment 411803
Kwa hisani ya wikileaks sina la ziada kutoka katika meza ya magazeti.
Naitwa Jimena Jimenes nawatakia siku njema
Adios
Nimeuliza tuKwani waswid ndio watata??
Naskia enzi zake hakuwa mtu wa mchezo mchezo alikuwa fudi haswaa..1955 - Jorge Valdano anazaliwa.
Ni mwanasoka wa zamani wa Argentina.
Pia kwa sasa ni kocha.
Mchina wa italia huyu!!!1976 - Mauro Camoranesi anazaliwa.
Ni mchezaji wa zamani wa Juventus na timu ya taifa ya Italy.
Alikuwepo kikosini wakati Italy inashinda ubingwa wa Dunia mwaka 2006 pale Ujerumani.
Licha ya kuchezea timu ya taifa ya Italy, Camoranesi ni mzaliwa wa nchini Argentina.
Achaga dharauAfadhali jembe umerudi
Viazi vilikuwa vingi
![]()
![]()
![]()
.........

PamokoJamani nashukuru kwa meseji zenu za faraja mlizonitumia, tulizika salama jana jioni.
Vip hali yako n familia kiujumla!?Njema kabisa
Have a nice day jjView attachment 411801View attachment 411802View attachment 411803
Kwa hisani ya wikileaks sina la ziada kutoka katika meza ya magazeti.
Naitwa Jimena Jimenes nawatakia siku njema
Adios
Oya.. Kongoman niaje!?Achaga dharau![]()