Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hamna cha kujistukia wala nini, umejaa maneno ya shombo af watu huwa wanakuchora tu, sema wanakupotezea for the sake of otherz!!! Jifunze kuishi na watu, kuwaheshimu n.k

Watu kukaa kimya sio uwaone mabwege.

Me nimemaind coz hamna mtu awaye yeyote anaweza kuisukuma hii thread alone!!!
Povu hili



Ila kuwa mpole blood!
 
Nina maanisha kwa wale wanaopenda kuwekeza kwenye ardhi;
Kununua shamba kwa malengo ya kufanya kilimo na ufugaji, kuja kuuza baadae, au kununua viwanja vya kujenga.
Huku wenyeji bado hawajashtuka sana, watu wakuja ndo wanachangamkia fursa sana
Yaah! Huko viwanja wanauza bei rahisi sana..
Mama yangu alinunua heka 5 hapo 2011 na ametugawanyishia wanawe wote.
Mashamba yapo tu hayana kazi.

Nilikuwa nafikiri kuja kulima hapo ila sijajua ni kilimo gani kitalipa ktk mazingira hayo.


Ngoja mkuu nkufwate Pm ili unisaidie hilo jambo kidogo
 
Yaah! Huko viwanja wanauza bei rahisi sana..
Mama yangu alinunua heka 5 hapo 2011 na ametugawanyishia wanawe wote.
Mashamba yapo tu hayana kazi.

Nilikuwa nafikiri kuja kulima hapo ila sijajua ni kilimo gani kitalipa ktk mazingira hayo.


Ngoja mkuu nkufwate Pm ili unisaidie hilo jambo kidogo
Sehemu gani ninyi shamba lenu lipo
 
Rais wa Uganda, Yoweri Museveni akisalimiana na babake mzazi, Amos Kaguta huko Rwakitura muda mfupi baada ya vikosi vya NRA kuliteka jiji la Kampala 1986. Aliyevaa magwanda ya kijeshi kulia ni mhandisi Winnie Byanyima, ambaye ni mke wa Col.Kiiza Besigye.
View attachment 411849
Siasa bhana!!! Siasa zimewafarakanisha!
 
Hamna cha kujistukia wala nini, umejaa maneno ya shombo af watu huwa wanakuchora tu, sema wanakupotezea for the sake of otherz!!! Jifunze kuishi na watu, kuwaheshimu n.k

Watu kukaa kimya sio uwaone mabwege.

Me nimemaind coz hamna mtu awaye yeyote anaweza kuisukuma hii thread alone!!!
Sikuwa serious
Niliongea kiutani
Mfano huwa tunataniana "bwege" n.k

Sorry km nilikukwaza
......................................
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom