sacajo
JF-Expert Member
- Jul 23, 2016
- 1,385
- 4,493
Asante my NeighbourMpaka hapo Sina la ziada kwa hisani kubwa ya saint Cazora nawatakieni jioni njema
Duh! huyu tetemeko lilimkuta wakati mbaya sana

Hebu jaribuKweli kabisa mkuu![]()
![]()
![]()
Ni hesabu tu ndiyo zinawaongoza na number huwa hazidanganyiDah! Sasa kibaya ni wanapotaka kutuaminisha hivyo na sisi
Mambo ya DonaWatoto 56
Huwez jua nini kilichompataNa walikuwa manabii haswa...haswa Daudi aliingia mkenge kiulainiii
Warusi ndio wametisher hawana namba 13 kwenye kalenda??!Leo katika Historia:
September 13 ni moja kati ya Siku mbaya katika mwaka.
Hasa tarehe 13 idondokee Ijumaa wazungu wanaamini hiyo ni siku mbaya sana katika maisha.
Na wameenda mbali zaidi wakiamini namba 13 ni namba ya mikosi baadhi ya Nchi kama Urusi katika kalenda yao hawana tarehe 13.
Hata kwenye mpira jezi namba 13 huvaliwa zaidi na magolikipa kuliko wachezaji wa ndani.
Ballack alipenda kuvaa namba 13 kila mfatiliaji wa soka anajua kilichomkuta katija career yake.


Bamia zinahusikaje hapo shem lake? Em nipe nondoBamia zinahusika kwa kumbukumbu
Ndio. Alibadili uraia.Historia mujarab kabisa ,sasa huyo babake wa ubatizo aliyezikwa tz alikuwa ni mtz ama??
Ntaivizia kimya kimya hiyo110k ndiyo nzuri
Wapo, yule mama prof wa Kenya sasa marehemu, MathaeOk poa, hivi kuna waafrika washawah kushinda noble kweli?
Njoo chukueJamani mbona sijanunua chocolate sasa![]()
![]()
![]()
We missed you too dear...karibuMissing you Kf...
AmenAsante sana kwa historia mwenyekiti
Hivi bado wapo eeh? nadhani wapo kuanzia miaka 13 kurudi chini na ukigusa unanasa....jera 30 years

Huyo ni kubwa lao.Kweli aisee, aione mussolin hii