Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,100
Niko sawa kabisaHabari njema sana jimena, hofu kwako uliyembali na upeo wa macho yangu
Niko sawa kabisaHabari njema sana jimena, hofu kwako uliyembali na upeo wa macho yangu
Ili kutoa nafasi kwa wao kuwatangaza mashujaa wao fekiMara nyingi mashujaa wa kweli huwa michango yao inapuuzwa na Mataifa ya Magharibi.
Labda uwe mhafidhina ndio utapaishwa hata kama ulifanya madudu.
Wazungu walisema ati ana vinasaba vinavyomuwezesha asiweze kufaKomredi Mugabe atafia madarakani.
Viongozi wa kariba ya Mugabe wanazaliwa wachache sana katika kizazi hiki cha Instagilamu.
Leo katika Historia:
September 13 ni moja kati ya Siku mbaya katika mwaka.
Hasa tarehe 13 idondokee Ijumaa wazungu wanaamini hiyo ni siku mbaya sana katika maisha.
Na wameenda mbali zaidi wakiamini namba 13 ni namba ya mikosi baadhi ya Nchi kama Urusi katika kalenda yao hawana tarehe 13.
Hata kwenye mpira jezi namba 13 huvaliwa zaidi na magolikipa kuliko wachezaji wa ndani.
Ballack alipenda kuvaa namba 13 kila mfatiliaji wa soka anajua kilichomkuta katija career yake.
R I PNUKUU NO 4#
Katika Tanganyika tunaamini kwamba ni shetani peke yake,
Mtu asiye mcha Mungu ndiye anayeweza kutumia rangi ya ngozi ya mtu kama kigezo cha kuamua kumlahisishia anapata haki zake za msingi
Haya yalisemwa na Mwalimu Julius Nyerere, Rais wa kwanza wa Tanganyika na baadaye jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Alitamka maneno hayo wakati akihutubia mbele ya Gavana wa kikoloni wa Uingereza, Richard Gordon Turnbull, wakati wa mkutano wa baraza la kutunga sheria (Legco) kabla hajakasimiwa madaraka waziri mkuu wa Tanganyika, mwaka 1960.
Asante sana ankaliMpaka hapo Sina la ziada kwa hisani kubwa ya saint Cazora nawatakieni jioni njema
Ili ukatuwakilishe kwa VINGONGO???Mkinipa udiwani wa makapuku mtakua mmenitendea haki.
We miss you too, ulipoteaMissing you Kf...
1933 - Elizaberh McCombs anakuwa mwanamke wa kwanza kuchaguliwa kuwa Mbunge katika bunge la nchini New Zealand.
Tupe sifa zakoMkinipa udiwani wa makapuku mtakua mmenitendea haki.
Ni njema sana, mishe vipi? Umeadimika jombaaPowa ndugu ...Habari za hapo ?