Makapuku Forum

Makapuku Forum

Leo katika Historia:

September 13 ni moja kati ya Siku mbaya katika mwaka.

Hasa tarehe 13 idondokee Ijumaa wazungu wanaamini hiyo ni siku mbaya sana katika maisha.

Na wameenda mbali zaidi wakiamini namba 13 ni namba ya mikosi baadhi ya Nchi kama Urusi katika kalenda yao hawana tarehe 13.

Hata kwenye mpira jezi namba 13 huvaliwa zaidi na magolikipa kuliko wachezaji wa ndani.

Ballack alipenda kuvaa namba 13 kila mfatiliaji wa soka anajua kilichomkuta katija career yake.
IMG_20160913_195657.jpeg
IMG_20160913_195646.jpeg

Hata hapa leo kumejaa nux
......
 
NUKUU NO 4#

Katika Tanganyika tunaamini kwamba ni shetani peke yake,
Mtu asiye mcha Mungu ndiye anayeweza kutumia rangi ya ngozi ya mtu kama kigezo cha kuamua kumlahisishia anapata haki zake za msingi

Haya yalisemwa na Mwalimu Julius Nyerere, Rais wa kwanza wa Tanganyika na baadaye jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Alitamka maneno hayo wakati akihutubia mbele ya Gavana wa kikoloni wa Uingereza, Richard Gordon Turnbull, wakati wa mkutano wa baraza la kutunga sheria (Legco) kabla hajakasimiwa madaraka waziri mkuu wa Tanganyika, mwaka 1960.
R I P
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom