Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
1967 - Mohamed Bin Awad Bin Laden anafariki Dunia.
Alikuwa ni mfanyabiashara toka nchini Saudi Arabia.
Aliacha watoto 56 mmoja wao akiwa ni Osama Bin Laden.
Osama mtupu
......
1967 - Mohamed Bin Awad Bin Laden anafariki Dunia.
Alikuwa ni mfanyabiashara toka nchini Saudi Arabia.
Aliacha watoto 56 mmoja wao akiwa ni Osama Bin Laden.
Watoto 561967 - Mohamed Bin Awad Bin Laden anafariki Dunia.
Alikuwa ni mfanyabiashara toka nchini Saudi Arabia.
Aliacha watoto 56 mmoja wao akiwa ni Osama Bin Laden.
Nilikuwa nayapata sana lakin nimeshamchagua Mzee magarHivi ulikuwa unapata maswali ya matipochoisi kweli??
YashapitaNimeshasahau sasa daaah
Safi kabisa,niliipania sana acha tu niikoseKaichukua Bitoz hiyo wangu, mambo ni gani lakin bibie?
Kuna ile ya Choose the most correct answer....yan yote yako sawa ila kuna jibu ambalo ni sahihi kuliko yote!...hayo yalikuwa yananiboa sanaHuyu kwenye multiple choice nadhani alikuwa anaandika ''BOTH''

Historia mujarab kabisa ,sasa huyo babake wa ubatizo aliyezikwa tz alikuwa ni mtz ama??1996 - Tupac Amar Shakur anafariki Dunia.
Alikuwa ni rapa wa muziki wa Hiphop toka nchini Marekani.
Anachukuliwa kama mmoja kati ya rapa mwenye ushawishi na bora wa wakati wote.
Ni miongoni mwa watu wachache ambao wameendelea kuwa maarufu hata baada ya miaka mingi kupita baada ya vifo vyao kando ya Mwanamapinduzi Ernesto Che Guevara na mwanamuziki wa regge Bob Marley.
Tupac aka Makaveli alifariki baada ya kupigwa risasi kadhaa wiki moja baadae ndio anafariki baada ya kiasi kikubwa sana cha damu kuvuja ndani ya mwili.
Pamoja na yote hayo kuna wanaoamini Tupac hajafa, Alifeki kifo chake ili apunguze kufatiliwa.
Kwa wale wanaoamini kuwa Tupac amefariki wanaamini Big ndio aliyemuua baada ya kutoelewana kisa Tupac alitembea na mwanamke wa Big Notorius aliyitwa Faith Evans.
Pia kuna wanaoamini Tupac aliuwawa na bosi wake na mmiliki wa Death row Inc. ambaye ni Suge Knight.
Baba wa ubatizo wa Tupac alifariki na kuzikwa Tanzania, alijulikana kama Geronimo Pratt.
Leo ni miaka 20 toka 2pac afe bado anabaki kama rapa bora wa wakati wote.
Pumzika amani 2pac.
Hongera sanaKwangu sept 13 ni bahati
![]()
![]()
![]()
![]()
.......
Weka nimekuruhusuKuna picha moja nimeiona sijui kama ni ya kweli imetokea huko, ntaiweka nikipewa ruhusa
R I P Tupac1996 - Tupac Amar Shakur anafariki Dunia.
Alikuwa ni rapa wa muziki wa Hiphop toka nchini Marekani.
Anachukuliwa kama mmoja kati ya rapa mwenye ushawishi na bora wa wakati wote.
Ni miongoni mwa watu wachache ambao wameendelea kuwa maarufu hata baada ya miaka mingi kupita baada ya vifo vyao kando ya Mwanamapinduzi Ernesto Che Guevara na mwanamuziki wa regge Bob Marley.
Tupac aka Makaveli alifariki baada ya kupigwa risasi kadhaa wiki moja baadae ndio anafariki baada ya kiasi kikubwa sana cha damu kuvuja ndani ya mwili.
Pamoja na yote hayo kuna wanaoamini Tupac hajafa, Alifeki kifo chake ili apunguze kufatiliwa.
Kwa wale wanaoamini kuwa Tupac amefariki wanaamini Big ndio aliyemuua baada ya kutoelewana kisa Tupac alitembea na mwanamke wa Big Notorius aliyitwa Faith Evans.
Pia kuna wanaoamini Tupac aliuwawa na bosi wake na mmiliki wa Death row Inc. ambaye ni Suge Knight.
Baba wa ubatizo wa Tupac alifariki na kuzikwa Tanzania, alijulikana kama Geronimo Pratt.
Leo ni miaka 20 toka 2pac afe bado anabaki kama rapa bora wa wakati wote.
Pumzika amani 2pac.
Mkibahatisha mna tabu sanaKivile
![]()
![]()
![]()
.......
Naona uhuru kawapelekea ma blanket na vitu vingineUhuru katangaza mapema kutoa, wao ndio wamashituka sasa hivi
Jamani mbona sijanunua chocolate sasaLeo ni siku ya kimataifa ya Chocolate.

Hivi kwanini wabongo wanapenda sana kutumia majina ya mastaa wa nje?
Asante sana kwa historia mwenyekitiLeo katika Historia:
Sina la ziada, kwa udhamini mnono wa 2pac makaveli, tuonane tena kesho.
Bye!!
Seriously?!!!!! i mean totally seriously!?Tatizo sitaki kuukosa upadre kisa hayo mambo







Kweli aisee, aione mussolin hiiKwangu sept 13 ni bahati
![]()
![]()
![]()
![]()
.......
Hopeful unaweza kuthibitishaKweli kabisa Mkuu......wala hujakosea![]()
![]()
![]()
Inaonekana wamebanana huko, wanapumuliana wao kwa wao
Na chakula hawapeani




1996 - Tupac Amar Shakur anafariki Dunia.
Alikuwa ni rapa wa muziki wa Hiphop toka nchini Marekani.
Anachukuliwa kama mmoja kati ya rapa mwenye ushawishi na bora wa wakati wote.
Ni miongoni mwa watu wachache ambao wameendelea kuwa maarufu hata baada ya miaka mingi kupita baada ya vifo vyao kando ya Mwanamapinduzi Ernesto Che Guevara na mwanamuziki wa regge Bob Marley.
Tupac aka Makaveli alifariki baada ya kupigwa risasi kadhaa wiki moja baadae ndio anafariki baada ya kiasi kikubwa sana cha damu kuvuja ndani ya mwili.
Pamoja na yote hayo kuna wanaoamini Tupac hajafa, Alifeki kifo chake ili apunguze kufatiliwa.
Kwa wale wanaoamini kuwa Tupac amefariki wanaamini Big ndio aliyemuua baada ya kutoelewana kisa Tupac alitembea na mwanamke wa Big Notorius aliyitwa Faith Evans.
Pia kuna wanaoamini Tupac aliuwawa na bosi wake na mmiliki wa Death row Inc. ambaye ni Suge Knight.
Baba wa ubatizo wa Tupac alifariki na kuzikwa Tanzania, alijulikana kama Geronimo Pratt.
Leo ni miaka 20 toka 2pac afe bado anabaki kama rapa bora wa wakati wote.
Pumzika amani 2pac.