Sweetiepie
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 6,107
- 24,132
Dictator missing you jamaniWeka baba, niweke leo katika Historia!
Dictator missing you jamaniWeka baba, niweke leo katika Historia!
Maajabu sanaYanga napo kuna Cannavaro eti
Huyo ndio shujaa sasa!....najua amlishakufa R.I.PNUKUU NO 1#
Asilimia 90% ya wanasiasa ndio wanaosababisha wanasiasa wenzao ambao ni 10% iliyosalia, kuporoka kwa hadhi zao mbele ya Jamii.
Maneno haya yalisemwa na Henry Alfred Kissinger.
Kissinger alizaliwa Mei 27,1923. Ni mwanadiplomasia wa Marekani na mtaalamu wa siasa.
Amewahi kuitumikia nchi kwa wadhifa wa mshauri wa masuala ya ulinzi na usalama na baadaye, waziri wa mambo ya nje wa Marekani katika tawala za Rais Richard Nixon na Gerald Ford.
Ndiye aliyechangia kwa kiasi kikubwa Marekani kuondoa vikosi vyake nchini Vietnam na kuzawadiwa tuzo ya amani ya Nobel mwaka 1973
Ilete Mussolin cowboyWakuu mko powa, leo nilibanwa sana, nilikuwa nje ya mji now ndio nimerejea na bila kupoteza muda nawaletea leo ktk Historia.
HakikaNdio mkuu......inampasa asubiri
Amna, sitaki vya kupewaMuone mzee Magari atakupa
Rest in peace king pac...1996 - Tupac Amar Shakur anafariki Dunia.
Alikuwa ni rapa wa muziki wa Hiphop toka nchini Marekani.
Anachukuliwa kama mmoja kati ya rapa mwenye ushawishi na bora wa wakati wote.
Ni miongoni mwa watu wachache ambao wameendelea kuwa maarufu hata baada ya miaka mingi kupita baada ya vifo vyao kando ya Mwanamapinduzi Ernesto Che Guevara na mwanamuziki wa regge Bob Marley.
Tupac aka Makaveli alifariki baada ya kupigwa risasi kadhaa wiki moja baadae ndio anafariki baada ya kiasi kikubwa sana cha damu kuvuja ndani ya mwili.
Pamoja na yote hayo kuna wanaoamini Tupac hajafa, Alifeki kifo chake ili apunguze kufatiliwa.
Kwa wale wanaoamini kuwa Tupac amefariki wanaamini Big ndio aliyemuua baada ya kutoelewana kisa Tupac alitembea na mwanamke wa Big Notorius aliyitwa Faith Evans.
Pia kuna wanaoamini Tupac aliuwawa na bosi wake na mmiliki wa Death row Inc. ambaye ni Suge Knight.
Baba wa ubatizo wa Tupac alifariki na kuzikwa Tanzania, alijulikana kama Geronimo Pratt.
Leo ni miaka 20 toka 2pac afe bado anabaki kama rapa bora wa wakati wote.
Pumzika amani 2pac.
Jirani ni shida leoIlete jirani mwaya....
Jukwaa la Dini linakuhusu sacajo mweeee au huku ulipoteaAmini hivyo Mkuu.......moyoni mwangu nimeliweka neno nisije mtenda Mungu dhambi![]()
![]()
![]()




Shukran dictator mussolini..Leo katika Historia:
Sina la ziada, kwa udhamini mnono wa 2pac makaveli, tuonane tena kesho.
Bye!!
Dah! Sasa kibaya ni wanapotaka kutuaminisha hivyo na sisiWanaamini katika Masonic
Hahaah, najitahidi...japo sikuzidi weweNa wewe ndio mtoa Likes balaa
Mjeruman halisi..
NjemaHabari family
Un-defeated




Hahaha, amna wapo hata above 30, sema sura zao na za babu zao huwezi kuzitofautishaHivi bado wapo eeh? nadhani wapo kuanzia miaka 13 kurudi chini na ukigusa unanasa....jera 30 years
Ok poa, hivi kuna waafrika washawah kushinda noble kweli?Ya amani.
Alikuwa ni msuluhishi katika mgogoro huko Amerika ya kati.
Huyu mzee popote alipo abarikiweNUKUU NO 4#
Katika Tanganyika tunaamini kwamba ni shetani peke yake,
Mtu asiye mcha Mungu ndiye anayeweza kutumia rangi ya ngozi ya mtu kama kigezo cha kuamua kumlahisishia anapata haki zake za msingi
Haya yalisemwa na Mwalimu Julius Nyerere, Rais wa kwanza wa Tanganyika na baadaye jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Alitamka maneno hayo wakati akihutubia mbele ya Gavana wa kikoloni wa Uingereza, Richard Gordon Turnbull, wakati wa mkutano wa baraza la kutunga sheria (Legco) kabla hajakasimiwa madaraka waziri mkuu wa Tanganyika, mwaka 1960.
Ntapata kwa nani.Utapata we subiri