Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
Kibabu kibishiKomredi Mugabe atafia madarakani.
Viongozi wa kariba ya Mugabe wanazaliwa wachache sana katika kizazi hiki cha Instagilamu.
Now hata kutembea mbinde
........
Kibabu kibishiKomredi Mugabe atafia madarakani.
Viongozi wa kariba ya Mugabe wanazaliwa wachache sana katika kizazi hiki cha Instagilamu.
Aliyetungu huu usemi aliona mbaliMaisha bila unafki hayaendi.
sana.Aliyetungu huu usemi aliona mbali
......
Ahsante Mukulu Shululu.Mpaka hapo Sina la ziada kwa hisani kubwa ya saint Cazora nawatakieni jioni njema
Sana aiseeKomredi Mugabe atafia madarakani.
Viongozi wa kariba ya Mugabe wanazaliwa wachache sana katika kizazi hiki cha Instagilamu.
Powa ndugu ...Habari za hapo ?Niaje mkuu?
Pamoja mkuuAhsante Mukulu Shululu.
Hahaha, sawasawa dikteta uchwWakuu mko powa, leo nilibanwa sana, nilikuwa nje ya mji now ndio nimerejea na bila kupoteza muda nawaletea leo ktk Historia.
Nzuri kabisa, vp weweHabari family
Kweli kabisa mkuuKomredi Mugabe atafia madarakani.
Viongozi wa kariba ya Mugabe wanazaliwa wachache sana katika kizazi hiki cha Instagilamu.
NUKUU NO 4#
Katika Tanganyika tunaamini kwamba ni shetani peke yake,
Mtu asiye mcha Mungu ndiye anayeweza kutumia rangi ya ngozi ya mtu kama kigezo cha kuamua kumlahisishia anapata haki zake za msingi
Haya yalisemwa na Mwalimu Julius Nyerere, Rais wa kwanza wa Tanganyika na baadaye jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Alitamka maneno hayo wakati akihutubia mbele ya Gavana wa kikoloni wa Uingereza, Richard Gordon Turnbull, wakati wa mkutano wa baraza la kutunga sheria (Legco) kabla hajakasimiwa madaraka waziri mkuu wa Tanganyika, mwaka 1960.
Anaona vijana wa sasa hawana uwezo wa kuongozaaKibabu kibishi
Now hata kutembea mbinde
![]()
![]()
![]()
........
Kwa mfano neno gani??Amini hivyo Mkuu.......moyoni mwangu nimeliweka neno nisije mtenda Mungu dhambi![]()
![]()
![]()
Karibu, nimemalizaWeka baba, niweke leo katika Historia!
Nawepia mkuuMpaka hapo Sina la ziada kwa hisani kubwa ya saint Cazora nawatakieni jioni njema
KamandaNUKUU NO 3#
Nchi hizi za Marekani na Uingereza wamejichukulia mamlaka ya kuamua kwa niaba yetu kuhusu maendeleo ya Dunia
Na hata kuingilia masuala yetu ya ndani na kupandikiza kile wanachokiita mabadiliko ya kiutawala.
Maneno haya yamepata kutamkwa na Rais wa sasa wa Zimbabwe, ROBART Gabriel Mugabe. Mugabe alizaliwa Feb 21,1924, ni mwanamapinduzi aliyewahi kuongoza kundi la wapigania uhuru wa nchi hiyo kutoka kwa walowezi wa Uingereza.
Ni mwenyekiti wa Zimbabwe Africa National Union -Patriotic Front (ZANU-PF) tangu 1975, hiki ni Chama kilichopigania uhuru wa Zimbabwe