Kitombise
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 8,652
- 25,849
Na mhmi wanijua?Mmhhh,mgeni labda Mimi coz humu nawajua wachache tu
Na kwako piaUsiku mwema makapuku wenzangu mlale salama
Weka picha tuoneJecha kausika hapa
Ovaaa.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Nipo mimi. Lete stori.Nani yupo macho tupige story
Hahaa... Mbona makapuku wa humu hawajafilisika mkuu.. Makapuku safi tu, yao yanawaendea kama kawaida..Pamoja sana mkuu japo hujanitaja nadhani sababu sijawa kapuku wa kutupwa ngoja nifilisike kwanza
Madam, mzima wewe?Shukrani sana ankali
Huu mchezo hauhitaji hasiraFisadi www
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Riwaya ziko kweye Pc alaf nko nayo mbal ndo mana nashindwa kuileta.Kesho ulete Riwaya sasa
Na kwako pia Mkuu.Usiku mwema makapuku wenzangu mlale salama
Mimi mzima kabisa, pole na majukumuMajukumu yananibana kaka, ila naamini tupo pamoja. Mzima wewe?
Mimi ni buheri wa afya sijui wewe?Madam, mzima wewe?
Sasa nitegemee lini jamani??Riwaya ziko kweye Pc alaf nko nayo mbal ndo mana nashindwa kuileta.
Ila nitatafuta alternative
Maneno ya mkosaji hayoJecha kahusika hapaaa
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()