Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,077
- 464,004
Mgeni gani huyo wa 2015Mgeni
Mgeni gani huyo wa 2015Mgeni
He heHahahaha, nimegundua wewe hupendi sana utani,hasa wa aina hii
Na shangazi mwenyewe![]()
![]()
na nani?
Hahaha tumstiri ndg yetu
...jamani, hebu mniache nipumue, nimeachika mwenzenu na sasa naangalia nitatoka vipi, mapenzi yote nimehamishia kwa mama yenu





















Povu hilo tufulie nguo za wikiendiHivi mjomba akee kwani alikuwa serious au mm najua matani jamani sio kwa povu alilotoa juu
Sasa hivi yupo single huoni alitaka kurudi kwa tetra hawezi niangusha![]()
![]()
![]()
![]()
jiandae kisaikolojia atakunyeshea mvua sio ya nchi hii
Hahahaha, dah
Maramamae walahi ,acha tu niendelee kujilewea ,si kwa style hii
Yaani mpk najionea huruma, huu Uzi utanishinda huko mbele ,hapa nikujipa likizo tu ,sijui mikosi gani ninayo
Najua walimwengu na wafitini,viroho vya korosho, vimepitisha maneno yao
Haya bana ,niwaage wajomba zangu ,bye bye
Kwa mangi Shayo moja hii,kutoa uchungu
mbona unaaga mashindano kifwala hvo,we mjomba vpUkiwa tungi utaharibu mjombaHahahaha
Nitakua mnyonge ,Rafiki
Nikiwa tungi nitakua nakuja kusalimia
Bhasiiii sahauu kupelekwaaaaa na namwambiaa binamu akusahulisheee kwa jiwee...unamjuaa unamchezeaa
Sasa binamu yangu pesa zote zile za koroshow kapeleka wapi??kama hata tuishien tumemlipia pale kwa ras simba,,
wavaa shanga sio watu wazuriMm jana najua jiwe kaingia nae makapuku nikaomba na no kumbe wananisema kwa code

Mjomba anamiliki jiwe
...jamani, hebu mniache nipumue, nimeachika mwenzenu na sasa naangalia nitatoka vipi, mapenzi yote nimehamishia kwa mama yenu


pole sn..msalimie mama
Bahati mbaya sn umechelewa,Baada ya uteuzi tuu mambo yakawa fresh ss nakunywa juice ya malimao(usiniulize kwa nn)
mweee binamu hana bahati