Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,400
- 465,167
Mgeni gani huyo wa 2015Mgeni
Mgeni gani huyo wa 2015Mgeni
He heHahahaha, nimegundua wewe hupendi sana utani,hasa wa aina hii
Na shangazi mwenyewe[emoji134] [emoji134] [emoji134] na nani?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...jamani, hebu mniache nipumue, nimeachika mwenzenu na sasa naangalia nitatoka vipi, mapenzi yote nimehamishia kwa mama yenu
Povu hilo tufulie nguo za wikiendiHivi mjomba akee kwani alikuwa serious au mm najua matani jamani sio kwa povu alilotoa juu
Sasa hivi yupo single huoni alitaka kurudi kwa tetra hawezi niangusha[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] jiandae kisaikolojia atakunyeshea mvua sio ya nchi hii
[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] mbona unaaga mashindano kifwala hvo,we mjomba vpHahahaha, dah
Maramamae walahi ,acha tu niendelee kujilewea ,si kwa style hii
Yaani mpk najionea huruma, huu Uzi utanishinda huko mbele ,hapa nikujipa likizo tu ,sijui mikosi gani ninayo
Najua walimwengu na wafitini,viroho vya korosho, vimepitisha maneno yao
Haya bana ,niwaage wajomba zangu ,bye bye
Kwa mangi Shayo moja hii,kutoa uchungu
Ukiwa tungi utaharibu mjombaHahahaha
Nitakua mnyonge ,Rafiki
Nikiwa tungi nitakua nakuja kusalimia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Povu hilo tufulie nguo za wikiendi
Bhasiiii sahauu kupelekwaaaaa na namwambiaa binamu akusahulisheee kwa jiwee...unamjuaa unamchezeaa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wavaa shanga sio watu wazuri[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa binamu yangu pesa zote zile za koroshow kapeleka wapi??kama hata tuishien tumemlipia pale kwa ras simba,,
[emoji1][emoji1]...kweli kabisa, hata mimi sijaelewa kabisa unamaanisha nini?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mm jana najua jiwe kaingia nae makapuku nikaomba na no kumbe wananisema kwa code
Mjomba anamiliki jiwe
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wananisema mm ndio jiwe eti baba wawili
[emoji23][emoji23][emoji23]pole sn..msalimie mama[emoji173]...jamani, hebu mniache nipumue, nimeachika mwenzenu na sasa naangalia nitatoka vipi, mapenzi yote nimehamishia kwa mama yenu
[emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] mweee binamu hana bahatiBahati mbaya sn umechelewa,Baada ya uteuzi tuu mambo yakawa fresh ss nakunywa juice ya malimao[emoji85] (usiniulize kwa nn)