Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hahahaha, dah

Maramamae walahi ,acha tu niendelee kujilewea ,si kwa style hii

Yaani mpk najionea huruma, huu Uzi utanishinda huko mbele ,hapa nikujipa likizo tu ,sijui mikosi gani ninayo

Najua walimwengu na wafitini,viroho vya korosho, vimepitisha maneno yao

Haya bana ,niwaage wajomba zangu ,bye bye

Kwa mangi Shayo moja hii,kutoa uchungu
mbona unaaga mashindano kifwala hvo,we mjomba vp
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom