Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hahahaha, dah

Maramamae walahi ,acha tu niendelee kujilewea ,si kwa style hii

Yaani mpk najionea huruma, huu Uzi utanishinda huko mbele ,hapa nikujipa likizo tu ,sijui mikosi gani ninayo

Najua walimwengu na wafitini,viroho vya korosho, vimepitisha maneno yao

Haya bana ,niwaage wajomba zangu ,bye bye

Kwa mangi Shayo moja hii,kutoa uchungu
Khaaaa kwani we mzee jamanii humu si matani tu au ulikuwa serious mm sijui jamaniiii woiiiii
 
Basi mke umepata moneytalk hana chura kabisa
Sawa sawa shangaz!!aje nimuone

Yupo kama alivyokuwa marybaby kabla hajapelekwa?
tapatalk_1542127224770.jpeg
 
Hahahaha, dah

Maramamae walahi ,acha tu niendelee kujilewea ,si kwa style hii

Yaani mpk najionea huruma, huu Uzi utanishinda huko mbele ,hapa nikujipa likizo tu ,sijui mikosi gani ninayo

Najua walimwengu na wafitini,viroho vya korosho, vimepitisha maneno yao

Haya bana ,niwaage wajomba zangu ,bye bye

Kwa mangi Shayo moja hii,kutoa uchungu
Mjomba usitukatili sie kwa kosa la shangazi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom